TANZIA Prof. Mwesiga Baregu afariki dunia

Death![emoji24][emoji24] Poleni wafiwa wote, kifo ni adui namba moja kwa binadamu...
 
Ufunuo wa Yohana 14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.


Pumzika mzee, pole kwa familia yake....😔
 
Ameen,Daudi alisema "eeeh BWANA nijulishe wingi wa siku zangu ili nijijue nilivyo dhaifu",hakuna mji udumuo,rest in power profesa.
 
Punzika kwa kwa amani kiongongozi wangu.. profesa Baregu...
pole kwa viongozi wangu CHADEMA.
 
Aaaaa!!!!!!.....Mwalimu wangu wa somo la International Relations at UDSM na Academic Advisor wangu during those days.

RIP Prof. Mwesiga Baregu!!!
 
Tutakukumbuka kwa kupambania ustawi wa Demokrasia Nchini Tanzania.

Pumzika kwa Amani Prof. Baregu
 
Rest well Prof. Mwesiga Baregu
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…