Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Asante! Hutasikia negativity kumhusu huyu Prof ! Ameenda na busara zake sio kama nanihiHakuna msiba mwepesi kwa binadamu yoyote mwenye utu
Pole kwa msiba
Wacha kukufulu nani alikwambia kifo ni adui ? Kifo ni moja ya stage katika uhai nenda kasome vizuri.Death![emoji24][emoji24] Poleni wafiwa wote, kifo ni adui namba moja kwa binadamu...
Sawa mkuu!Wacha kukufulu nani alikwambia kifo ni adui ? Kifo ni moja ya stage katika uhai nenda kasome vizuri.
Asante! Hutasikia negativity kumhusu huyu Prof ! Ameenda na busara zake sio kama nanihi
Hata sijui mkuu, ila msiba ni pigo kubwa IMO. Kupoteza mpendwa kunauma kuliko... though tumepewa usahaulifu.Sasa watu wasingekuwa wananufa hii Dunia ingekuwaje? Kifo ni muhimu na sio adui
RIP Prof Baregu, mwendo umeumaliza, imani umeilinda
Tutakukumbuka
Kitu ambacho watu hawaelewi ni kwamba bado covid19 ipo!
Very Sad.Gone too soonIt's real bad news