Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Kwani timu yako hua haina story mbona 24/7 upo na Yanga tu
 
Diara ,job na mayele bado wanamkataba hawaondoki

Nonda , msuva nk waliondoka na wakavuma sana kwahio ata Nabi anaweza kufanikiwa ni kocha mzuri
Mayele anaondoka, labda hao wengine ndio hatuwezi kujua.
 
Hata wakimchukua na Eng Hersi hakuna tabu Yanga ipo leo na kesho.
Kama ilishawahi fukuza wachezaji wote wa kikosi cha kwanza na mpaka leo upo ukiinena kwa kinywa chako ujue Yanga ipo ipo sana.
 
Ungeenda Shule kwanza. Ligue ndo nini? Badala mkasome mnakuja kuonesha umbumbumbu wenu hapa.
 
Hapana mkuu....huu ni uchambuzi....usio na interests zozote ....coz mimi mwenyewe sina timu ni mchambuzi
Mcha - mbuzi. Ndo maana. Angalau ungekuwa hata unaufahamu mpira wa Miguu. Ila ninyi mnao mcha mbuzi huwa hamjui kitu.
 
Hata wakimchukua na Eng Hersi hakuna tabu Yanga ipo leo na kesho.
Kama ilishawahi fukuza wachezaji wote wa kikosi cha kwanza na mpaka leo upo ukiinena kwa kinywa chako ujue Yanga ipo ipo sana.
Hakuna aliyesema Yanga itafutika....ila mnaenda kupitia kipindi cha taabu 🤣😂🤣

Nadhani hivi karibuni tutaanza kusikia kutoka kwa hao viongozi wenu maneno kama "tunasuka kikosi upya".
 
Yaan hata amini
 
Kocha mwenye akili huondoka pale akiwa bado kwenye peak, ni vema akapate changamoto zingine ajenge cv yake
Halafu, binadamu huwa tunasahau. Yanga ilipofurushwa KLABU BINGWA na AL-HILAL, na kupelekea kwenda kujitetea Ili ashiriki SHIRIKISHO, mashabiki wao wakaanza kumponda. Hali ikawa mbaya zaidi baada ya kutoka sare na CLUB AFRICANS Dar es salaam. Tuliwasoma na kuwasikia mashabiki wakisema kuwa, matokeo ya marudiano na Africans huko Tunisia, yakiwa ni ya kuwaondoa huko SHIRIKISHO, basi abaki huko huko kwao Tunisia.
Sina shaka, hata yeye aliyasikia hayo maneno. Na anajua, salama yake, imetokana na matokeo hayo yaliyowafikisha hapo. Kinyume chake, angeshafurushwa muda mrefu! Ameona ni bora aondoke akiwa bado anapendwa, na HAJAHARIBIKIWA!
 
Kama kawaida yenu. Mchezaji akiondoka na itokee bado mnampenda lazima mjenge bifu .Mchome Jezi zake kama mlivyochoma za Nyionzima
 
Acha akachukue hela mkuu, bahati huwa haiji mara mbili,Al hilal ya Sudan alitimuliwa within 3months.....ndiyo akaja Yanga yetu acha akachukue Pension,then wanayanga wenzangu tukubali coaches huwa hili ni kawaida tu
 
Atajijuwa.. ACHANA NAYE..
YANGA OYEE🙌🤙💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…