Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Nimeweka supportive evidence za kwnn atapotea

Mimi binafsi sijaelewa
Hoja YAKO ligi ya bongo haijawahi kuacha mwanamichezo yoyote salama ukamuongelea nabi kuelekea SA

Ulipaswa utuambie KWA jinsi ufundishaji wa nabi na ligi ya SA kwake itakuwa ngumu kwasababu labda SA Wana aina fulani ya mpira au ungetupa evidence za makocha walioondoka yanga na hivi sasa ni hawana wanalofanya

Kiukweli sijakuelewa hata mimi sifatiliagi mpira Ila sijaelewa nieleweshwe mkuu
 
Lomalisa kashapeleka barua ya kusepaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
You sound like a bitter ex.

Ndio zile unamwambia mtu 'hutopata mwingine kama mimi' kusahau kuwa dhamira ya kuacha ni ili kuondokana na wewe na kutopata mwingine kama wewe.
 
Hakuna aliyesema Yanga itafutika....ila mnaenda kupitia kipindi cha taabu [emoji1787][emoji23][emoji1787]

Nadhani hivi karibuni tutaanza kusikia kutoka kwa hao viongozi wenu maneno kama "tunasuka kikosi upya".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa jamaa sjui wana akili gani asee??dah
 
Mayele asha wahi sema hayupo kwa mkopo tukuamini wewe au yeye
 
Sometimes ni bora kukaa kimya kama huna cha kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya kwenda kutafuta changamoto mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…