Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

You sound like a bitter ex.

Ndio zile unamwambia mtu 'hutopata mwingine kama mimi' kusahau kuwa dhamira ya kuacha ni ili kuondokana na wewe na kutopata mwingine kama wewe.
Yanga ilikuwa mahali sahihi kwake
 
Assume mchezaji.....unaondoka pale Madrid ukiwa at the peak ....Je utaenda timu gan
 
Ndio kilicho bakia. Mbona Saido hajapoteana zaidi kawa mfungaji bora.
Magoli ya bahasha..... mbna club bingwa alishindwa kufunga hata offsides [emoji23][emoji23]
 
Yanga na simba zimeharibu watanzania
Wala siyo simba na yanga, ni hawa jamaa wa CCM.

Yaani CCM akiweka mguu mahali ujue hakuna kitakachofanikiwa.

Kuanzia kununua magoli ya simba na yanga hadi kununua midege mibovu kote tulipigwa.
 
Ndio mlitaka fei nae abaki muendelee kumpa hela ndogo kisa akienda club nyingine kipaji kitapotea[emoji23]hata ingekua wewe usingebaki kama kampuni nyingine inakupa mpunga mrefu kuliko hapo unapofanya kazi na ukizingatia umri haukusubir na unamalengo yako mengi
 
Mayele mkataba na yanga unaisha 2024.
Ofa zikija nzuri Hata diara na job wanauzwa na wanaletwa wengine Mpira ni biashara na burudani .
Muhimu Yanga waipe nguvu program ya vijana ndio itamaliza tatizo la vipaji .
Watafute kocha wazuri kufundisha vijana
 
Assume mchezaji.....unaondoka pale Madrid ukiwa at the peak ....Je utaenda timu gan

BADO sijakuelewa, unazungumzia nabi as coach au unazungumzia mchezaji?
Halafu unatumia Emotional appeal fallacy" mbinu ya kutumia hisia za watu badala ya hoja za mantiki au ushahidi wa kuthibitisha hoja au mtazamo fulani.
Halafu ukitoa hoja hakuna maswala ya ku assume tunahitaji fact
Bado ujanielewesha mkuu ni vipi nabi atapotea?🙏🙏
 
Kuna muda pesa haiwezi buy happiness ..... feitoto hatakuwa na lile jina kama alivyokuwa Kwa wananchi
 
Una uwezo mdg... kuelewa
 
Si mlimpa U Professor sasa anaenda kushindwa vipi?.
Eti Professor wakati ameshindwa kuifikisha Yanga hata Group Stage CAFCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…