Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Sema wacha Prof Nabi aende kwenye malisho bora zaidi wana Yanga hatuna deni nae.

Hapa ni nyumbani akihitaji kurejea nafasi ipo klabuni na mioyoni mwetu.
Kabisa mkuu [emoji23]
 
Ligi ya SA ni ya kawaida sana Wala haitamsumbua tena atafanikiwa sana kimsingi naona ameondoka wakati sahihi kabisa

Makocha wetu wanaopata nafasi ya kufundisha team kubwa wajifunze kufanya vizuri wanapopewa hizi team ili wafike mbali wasiwe kama Ajib

Wapunguze kuuza mechi
Wewe kolo Ajib amewahi kuwa kocha wa timu gani hadi uwatahadhalishe makocha kutokuwa sawa na yeye
 
Halafu, binadamu huwa tunasahau. Yanga ilipofurushwa KLABU BINGWA na AL-HILAL, na kupelekea kwenda kujitetea Ili ashiriki SHIRIKISHO, mashabiki wao wakaanza kumponda. Hali ikawa mbaya zaidi baada ya kutoka sare na CLUB AFRICANS Dar es salaam. Tuliwasoma na kuwasikia mashabiki wakisema kuwa, matokeo ya marudiano na Africans huko Tunisia, yakiwa ni ya kuwaondoa huko SHIRIKISHO, basi abaki huko huko kwao Tunisia.
Sina shaka, hata yeye aliyasikia hayo maneno. Na anajua, salama yake, imetokana na matokeo hayo yaliyowafikisha hapo. Kinyume chake, angeshafurushwa muda mrefu! Ameona ni bora aondoke akiwa bado anapendwa, na HAJAHARIBIKIWA!
Kama ulifuatilia.....ungegundua kuwa wale walikuwa mashabiki wa Simba
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Kwakweli simuoni akitamba kama ilivyokuwa hapa bongo
 
Acha akachukue hela mkuu, bahati huwa haiji mara mbili,Al hilal ya Sudan alitimuliwa within 3months.....ndiyo akaja Yanga yetu acha akachukue Pension,then wanayanga wenzangu tukubali coaches huwa hili ni kawaida tu
Hakuna namna
 
Awapi wew....basi wangeshamchukua tyr

Au umechanganya majina....na baleke [emoji23]
Mmezoea kudanganywa na viongozi wenu hadi imefika wakati mkipewa facts na watu wa nje mnaona tunasema uongo. Ubaya wa uongo una ukomo. Akiondoka hawawezi kuwaambia alikuwa kwa mkopo maana walishawaaminisha vinginevyo. Hawawezi pia kuwaambia ameuzwa maana hamtawaelewa. Kazi wanayo.....
 
Mmezoea kudanganywa na viongozi wenu hadi imefika wakati mkipewa facts na watu wa nje mnaona tunasema uongo. Ubaya wa uongo una ukomo. Akiondoka hawawezi kuwaambia alikuwa kwa mkopo maana walishawaaminisha vinginevyo. Hawawezi pia kuwaambia ameuzwa maana hamtawaelewa. Kazi wanayo.....
Beleke ndo wa mkopo mzee
 
Back
Top Bottom