Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Akishindwa tutajua ni kweli mlikuwa mnahonga marefa.
Ila muache roho mbaya, mtu kawatumikia vizuri na ameondoka baada ya mkataba kuisha lakini Bado mnamtakia mabaya. Nendeni mkamshitaki TFF kwenye kamati yenu ya mchongo
 
Mayele mkataba na yanga unaisha 2024.
Ofa zikija nzuri Hata diara na job wanauzwa na wanaletwa wengine Mpira ni biashara na burudani .
Muhimu Yanga waipe nguvu program ya vijana ndio itamaliza tatizo la vipaji .
Watafute kocha wazuri kufundisha vijana
Hata mkataba wa Baleke unaisha 2024 ila Simba wanaweza kumuuza Baleke?
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Umpe USHAURI Sasa !!! Afanyeje
 
Akishindwa tutajua ni kweli mlikuwa mnahonga marefa.
Ila muache roho mbaya, mtu kawatumikia vizuri na ameondoka baada ya mkataba kuisha lakini Bado mnamtakia mabaya. Nendeni mkamshitaki TFF kwenye kamati yenu ya mchongo
Tunataka aendelee kufanya mazuri hapa hapa
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Hebu tupe mifano
 
Mleta mada una chuki za kimaskini sana hebu tupe mifano ya makocha waliotoka ligi za bongo kwa mafanikio na kwenda kupoteana wakiwa na timu yenye kikosi kizuri. Nyie alipowapa mafanikio si mlimuita profesa iweje anakoenda akafeli kama bado ana uprofesa wake. Na msimu ujao mtapigiza chini kwaajili ya ujinga kama mashabiki mko hivi viongozi nao hamnazo basi wwnye akili ni mtu mbili tu pale
 
Mleta mada una chuki za kimaskini sana hebu tupe mifano ya makocha waliotoka ligi za bongo kwa mafanikio na kwenda kupoteana wakiwa na timu yenye kikosi kizuri. Nyie alipowapa mafanikio si mlimuita profesa iweje anakoenda akafeli kama bado ana uprofesa wake. Na msimu ujao mtapigiza chini kwaajili ya ujinga kama mashabiki mko hivi viongozi nao hamnazo basi wwnye akili ni mtu mbili tu pale
Time Will tell
 
Back
Top Bottom