Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Prof Nabi atapoteana pale Afika Kusini

Sema wacha Prof Nabi aende kwenye malisho bora zaidi wana Yanga hatuna deni nae.

Hapa ni nyumbani akihitaji kurejea nafasi ipo klabuni na mioyoni mwetu.
Arejeew kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi

Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia

Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa umaarufu mtu yeyote kiasi Kwamba anajaa then baadae atapotea ..,huu ulikuwa ni muda wa Nabi kuendelea kuikuza CV yake akiwa Kwa wananchi

NB: Time will Tell

View attachment 2658545
Kwangu ni sahihi aondoke sio ufukuzwe
 
Nadhani ameonesha anafanya kitu cha zaidi ya kawaida. Kushikana na striker mabao na bado kuongoza kwa kutoa assist nadhani si mchezaji wa kawaida anapaswa awe mchezaji bora wa msimu.
Je magoli yalikuwa ya halali??
 
Bwana Yesu Kristo alisema kitu muhimu sana kwenye Mathayo 24:11 na sasa yameanza kutimia.
 
Yani aacche kwenda kwenye timu yenye pesa akalipwe vizuri ang'ang'anie kwenye timu inayo fanyiwa hisani na familia siku GSM akisema hakuna kunywa chai siku hiyo ni milo miwili
 
Back
Top Bottom