M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Sijawahi kumkubali Prof.Ndalichako kwenye siasa.ila kwenye taaluma na utendaji ni mahali pakeKiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
Abakie wapi hapo wakati Kauli hawataki tena? Kasulu wanaenda NsanzugwakoKwa English yake abaki alipo
kuna nafasi ya waziri mkuu ajayeKiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
Ndalichako sio mtoto wa mjini,......yes ili uwe Rai's ama makamo,ni lazima uwe mtoto wa mjini.Kiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
Poleβββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββββπ«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«π«βοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈπππβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈβοΈ
Hapana kabisa, !Ndalichako hata uwaziri hakufaa kabisaaaβ¦!!
Usiivuruge Nchi WeweKiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
"i will put you inside"Kwa English yake abaki alipo
πππ€£π€£π€£ππππ€£π€£ππDa Joi Huyo"i will put you inside"
Ni watu wapumbavu sana, ujuaji mwingi na roho mbaya sana. Sitaki kuwasikia.Watu wa kigoma kwa majungu makazini hawajambo.
Wana matatizo sana hao watu.Ni watu wapumbavu sana, ujuaji mwingi na roho mbaya sana. Sitaki kuwasikia.
Take him to the sele ππ nimekumbuka clip moja hivi akitoa maagizo kwa mkandarasi akamatweKwa English yake abaki alipo
Nsanzugwanko nae mwambieni apumzike. Mtu kila mwaka anagombea. EbooAbakie wapi hapo wakati Kauli hawataki tena? Kasulu wanaenda Nsanzugwako