Prof Ndalichako alifaa kuwa Mgombea mwenza Oktoba 2025

Prof Ndalichako alifaa kuwa Mgombea mwenza Oktoba 2025

Kiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
Sijawahi kumkubali Prof.Ndalichako kwenye siasa.ila kwenye taaluma na utendaji ni mahali pake
 
❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️📛📛📛⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️

Hapana kabisa, !Ndalichako hata uwaziri hakufaa kabisaaa…!!
 
Kiukweli Mkoa wa Kigoma Una hazina ya wasomi mahiri. Ilifaa Prof Joyce achukue kijiti kwa PhD holder mwenzake
Ndalichako sio mtoto wa mjini,......yes ili uwe Rai's ama makamo,ni lazima uwe mtoto wa mjini.
Nyerere alikua mjanja kuwageuka watoto wa mjini waliomuwezesha kua rais wa awamu ya kwanza,kilichomtokea na kinachomtokea Kila mtu anakiona.
 
❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️📛📛📛⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️⛔️

Hapana kabisa, !Ndalichako hata uwaziri hakufaa kabisaaa…!!
Pole
 
Aise; ko makamu wa rais akiondoka inalazimika ajae atoke mkoa wa mtangulizi wake? Je, mizani ya jinsi utakaaje kwa kimpebsekeza mama Ndalichako? Niliwahi pendekeza kupitia FB kuwa huyo mama Ndalichako anafaa kuwa waziri mkuu wa nchi yetu, nadhani muda ni sasa
 
Back
Top Bottom