Prof. Noam Chomsky asema kuwa Wayahudi wa Ashkenazi hawana uhusiano wowote na kizazi cha Ibrahim bali wanatokana na falme ya Khazar

Prof. Noam Chomsky asema kuwa Wayahudi wa Ashkenazi hawana uhusiano wowote na kizazi cha Ibrahim bali wanatokana na falme ya Khazar

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mtaalamu bingwa wa mambo ya Linguistic, Noam Chomsky, ambaye naye pia ni myahudi amesema kuwa ni FACT kuwa Wayahudi wa kizungu na yeye akiwa mmoja wao, hawana uhusiano wowote na asili ya hapo middle east, bali asuili yao ni caucus mountains huko Ukraine ilipokuwa Kingdom ya Khazaria.

Kwa ufahamu tu ni kuwa Kingdom ya Khazaria ilikuwepo zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ilitokea kuwa Mfalme wa nchi hiyo akaamua kuchagua dini, basi akachagua Uyahudi, basi watu wake nao wakabadili dini na kuingia uyahudini. Hao watu baadae walisambaa ulaya, ikiwemo nchi ya ujerumani na nyinginezo. Leo majority ya hao watu wanaitwa ASHKENAZI JEWS, ni wazungu, na ndiyo waliounda Zionist movement kuja kuishi Palestine. Na walifanikiwa kuunda Taifa mwaka 1948.

Unaweza kumsikiliza hapa profesa Chomsky akikiri fact hiyo!


View: https://www.youtube.com/watch?v=zmOBsYbxPCY&ab_channel=FreeWill
 
Dah huyu Chomsky tumemsoma sana vyuoni, hata wale wataalamu wa computer kwenye mambo ya "Compiler" wanamjua na theory zake za linguistics, Theory yake hiyo ndo inatumika kutengeneza compiler zinazorun computer languages kama vile C na C++
 
Mtaalamu bingwa wa mambo ya Linguistic, Noam Chomsky, ambaye naye pia ni myahudi amesema kuwa ni FACT kuwa Wayahudi wa kizungu wa Kiyahudi na yeye akiwa mmoja wao, hawana uhusiano wowote na asili ya hapo middle east, bali asuili yao ni caucus mountains huko Ukraine ilipokuwa Kingdom ya Khazaria.

Kwa ufahamu tu ni kuwa Kingdom ya Khazaria ilikuwepo zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ilitokea kuwa Mfalme wa nchi hiyo akaamua kuchagua dini, basi akachagua Uyahudi, basi watu wake nao wakabadili dini na kuingia uyahudini. Hao watu baadae walisambaa ulaya, ikiwemo nchi ya ujerumani na nyinginezo. Leo majority ya hao watu wanaitwa ASHKENAZI JEWS, ni wazungu, na ndiyo waliounda Zionist movement kuja kuishi Palestine. Na walifanikiwa kuunda Taifa mwaka 1948.

Unaweza kumsikiliza hapa profesa Chomsky akikiri fact hiyo!


View: https://www.youtube.com/watch?v=zmOBsYbxPCY&ab_channel=FreeWill

chai imepoa sana ungeipasha moto kabla ya kuileta mezani JF, halafu haina sukari, halaf chai yenyewe imechacha, aisee kajipange tena najua unawaunga sana mkono magaidi ya kipalestina ila kwa chai hii hapana huwezi shawishi werevu kajipange tena!
 
Mtaalamu bingwa wa mambo ya Linguistic, Noam Chomsky, ambaye naye pia ni myahudi amesema kuwa ni FACT kuwa Wayahudi wa kizungu wa Kiyahudi na yeye akiwa mmoja wao, hawana uhusiano wowote na asili ya hapo middle east, bali asuili yao ni caucus mountains huko Ukraine ilipokuwa Kingdom ya Khazaria.

Kwa ufahamu tu ni kuwa Kingdom ya Khazaria ilikuwepo zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ilitokea kuwa Mfalme wa nchi hiyo akaamua kuchagua dini, basi akachagua Uyahudi, basi watu wake nao wakabadili dini na kuingia uyahudini. Hao watu baadae walisambaa ulaya, ikiwemo nchi ya ujerumani na nyinginezo. Leo majority ya hao watu wanaitwa ASHKENAZI JEWS, ni wazungu, na ndiyo waliounda Zionist movement kuja kuishi Palestine. Na walifanikiwa kuunda Taifa mwaka 1948.

Unaweza kumsikiliza hapa profesa Chomsky akikiri fact hiyo!


View: https://www.youtube.com/watch?v=zmOBsYbxPCY&ab_channel=FreeWill

Its a well known Fact na ina Uthibitisho kabisa wa Kisayansi, sema tu watu wanatumia Siasa kuipinga, Hakuna Evidence kwamba Ashkenazi asili yao NI middle East badala ya Ulaya. Sepharadic na Mizrahi ndio wana Asili ya Middle East.
 
Mtaalamu bingwa wa mambo ya Linguistic, Noam Chomsky, ambaye naye pia ni myahudi amesema kuwa ni FACT kuwa Wayahudi wa kizungu wa Kiyahudi na yeye akiwa mmoja wao, hawana uhusiano wowote na asili ya hapo middle east, bali asuili yao ni caucus mountains huko Ukraine ilipokuwa Kingdom ya Khazaria.

Kwa ufahamu tu ni kuwa Kingdom ya Khazaria ilikuwepo zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ilitokea kuwa Mfalme wa nchi hiyo akaamua kuchagua dini, basi akachagua Uyahudi, basi watu wake nao wakabadili dini na kuingia uyahudini. Hao watu baadae walisambaa ulaya, ikiwemo nchi ya ujerumani na nyinginezo. Leo majority ya hao watu wanaitwa ASHKENAZI JEWS, ni wazungu, na ndiyo waliounda Zionist movement kuja kuishi Palestine. Na walifanikiwa kuunda Taifa mwaka 1948.

Unaweza kumsikiliza hapa profesa Chomsky akikiri fact hiyo!


View: https://www.youtube.com/watch?v=zmOBsYbxPCY&ab_channel=FreeWill

Haissidii Kuna watu asili Yao ni sudani, Ethiopia, Afrika ya kusini na kwa Sasa ni Watanzania
 
Haissidii Kuna watu asili Yao ni sudani, Ethiopia, Afrika ya kusini na kwa Sasa ni Watanzania
Mfano Mngoni unawezaje kumwambia Eti yeye sio mtanzania kwa sababu Tu asili yake ni South Africa...
Mmasai unawezaje leo kumwambia Sio Mtanzania Au mkeny eti kisa tu Asili yake ni Ethiopia..
Kuna vitu huwa vinafikirisha Sana unajiuliza hivi huyu Phd aliipataje
 
sasa atuambie wayahudi halisi wajukuu wa yakobo wako wapi kwa sasa, na je wale wapalestina nao asili yao ni wapi
Wapalestina na Jews wengine wenye asili ya zamani wote ni Jews wa Kale, Wapalestina ni Jews wa Kale waliokuwa waisilamu ama wakristo.
 
Haissidii Kuna watu asili Yao ni sudani, Ethiopia, Afrika ya kusini na kwa Sasa ni Watanzania
Sahihi ila Chomsky anaongea hivyo kujibu hoja, Kuna watu wanataka Kulazimisha Palestina ni wahamiaji na wao ndio asili yao pale, settlers wengi Israel ni Ashkenazi ambao hawana claim yoyote hilo ni eneo ni wakoloni kama wakoloni wengine
 
sasa atuambie wayahudi halisi wajukuu wa yakobo wako wapi kwa sasa, na je wale wapalestina nao asili yao ni wapi
Miongoni mwa hao wapalestina wanaopigwa wamo miongoni mwao ni kizazi cha Yakobo. Shida yao ni waliamua kufuata Uislamu na tamaduni za kiarabu tu baasi.

Pia kuna Wayahudi wa Arabia ikiwemo Yemeni, Iraki na kule Uajemi (Irani). Kuna wengine wako Afrika (Lemba) people, Wengine wako Afghanistan huko (hawa wataleban unaowaona, Pashtun people, inasemwa kuwa kuna kizazi cha Yusufu mle), n.k
 
Mfano Mngoni unawezaje kumwambia Eti yeye sio mtanzania kwa sababu Tu asili yake ni South Africa...
Mmasai unawezaje leo kumwambia Sio Mtanzania Au mkeny eti kisa tu Asili yake ni Ethiopia..
Kuna vitu huwa vinafikirisha Sana unajiuliza hivi huyu Phd aliipataje
Unaelewa neno 'asili' maana yake!?..uraia upo Hadi wa kuomba
 
Miongoni mwa hao wapalestina wanaopigwa wamo miongoni mwao ni kizazi cha Yakobo. Shida yao ni waliamua kufuata Uislamu na tamaduni za kiarabu tu baasi.

Pia kuna Wayahudi wa Arabia ikiwemo Yemeni, Iraki na kule Uajemi (Irani). Kuna wengine wako Afrika (Lemba) people, Wengine wako Afghanistan huko (hawa wataleban unaowaona, Pashtun people, inasemwa kuwa kuna kizazi cha Yusufu mle), n.k
Wengine wako Upareni na Singida
 
Waisraeli halisi ni wamasai.


Hao wazungu hata mimi nawakata kabisa.
 
Back
Top Bottom