Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Na zaidi hata Jared Kusheer kwa asili ni Mhindi aliyeongoka kuwa Myahudi kwa dini. Asingeongokea Uyahudi angekuwa Budha, dini ya asili yake ya India.Mwambie tu kuwa hata Ivanka mtoto wa Trump aliyeolewa na Myahudi Jared Kushner naye kabadili dini na kuwa Myahudi.
Familia ya Trump wazazi wake wana asili ya kiyahudi waliamia Marekani toka Udachi sababu ya maonevu ya mateso ya wayahudi na dini yao ndipo Donald Trump.akazaliwa Marekani akiwa mtoto wa wayahudi lakini wakaingia ukrisito lakini kule kwenye dini ya wayahudi wanawatambua kama wayahudi na dini ya kiyahudiMwambie tu kuwa hata Ivanka mtoto wa Trump aliyeolewa na Myahudi Jared Kushner naye kabadili dini na kuwa Myahudi.
India kuna wayahudi kibao jeshi la India na wako na enro lao kabisa wanajulikana kama Indian JewsNa zaidi hata Jared Kusheer kwa asili ni Mhindi aliyeongoka kuwa Myahudi kwa dini. Asingeongokea Uyahudi angekuwa Budha, dini ya asili yake ya India.
We jamaaa kiaz kweli yaaanHapa pa kubadili dini ndipo uongo wake unaonekana wazi wazi bila chenga
Dini ya kiyahudi hairuhusu mtu ambaye hakuzaliwa na mzazi myahudi kuingia dini ya kiyahudi
Wao hawahitaji mtu yeyote abadili dini aingie dini ya kiyahudi hilo halipo na wala hawatangazi dini yao kutafuta waumini kama Ukristo na uislamu unavyofanya
Wao kuwa dini ya kiyahudi lazima kixazi kiwe cha myahudi sio kubadili dini
Mimi mfano ni Mkristo leo hata nikitaka nibadili dini pamoja na mapenzi yangu yote kwa wayahudi hawatakubali
Ndio maana katika dini ambazo hazina ugomvi na dini yeyote duniani ni dini ya kiyahudi
Ila dini zingine kama baadhi ya matawi uislamu ndio wana ugomvi na dini zingine ikiwemo Ukristo ,uhindu,upagani na uyahudi nk
Mtu kwao asiye muislamu hujisikia.kukereka na kumuona asiye muislamu kama takataka fulani hivi.Dini ya kiyahudi wala wewe kaa na dini.lako wala hawakuhitaji ujiunge dini yao
Huyo Profesa muongo wa kutupwa na midevu yake kama ya Osama Bin Laden
Wayahudi waliopo pale Israel ni kizazi halisincha wazazi wayahudi kutokea Ibrahim
Nakazia..Hapa pa kubadili dini ndipo uongo wake unaonekana wazi wazi bila chenga
Dini ya kiyahudi hairuhusu mtu ambaye hakuzaliwa na mzazi myahudi kuingia dini ya kiyahudi
Wao hawahitaji mtu yeyote abadili dini aingie dini ya kiyahudi hilo halipo na wala hawatangazi dini yao kutafuta waumini kama Ukristo na uislamu unavyofanya
Wao kuwa dini ya kiyahudi lazima kixazi kiwe cha myahudi sio kubadili dini
Mimi mfano ni Mkristo leo hata nikitaka nibadili dini pamoja na mapenzi yangu yote kwa wayahudi hawatakubali
Ndio maana katika dini ambazo hazina ugomvi na dini yeyote duniani ni dini ya kiyahudi
Ila dini zingine kama baadhi ya matawi uislamu ndio wana ugomvi na dini zingine ikiwemo Ukristo ,uhindu,upagani na uyahudi nk
Mtu kwao asiye muislamu hujisikia.kukereka na kumuona asiye muislamu kama takataka fulani hivi.Dini ya kiyahudi wala wewe kaa na dini.lako wala hawakuhitaji ujiunge dini yao
Huyo Profesa muongo wa kutupwa na midevu yake kama ya Osama Bin Laden
Wayahudi waliopo pale Israel ni kizazi halisincha wazazi wayahudi kutokea Ibrahim
the other part is..huyu Dingi ni mweupe kabisa na hapa ili kunogesha hoja katajwa kama myahudi ila ukienda kwenye nyuzi zingine zinazohusu Israel mleta mada anakataa akina Netanyahu kuwa si Wayahud kwasababu tu ni weupe. huyu hapa ni mweupe na uyahudi wake umekubalika na mleta mada kwasababu hana mpango wa kwenda kuishi Israel ila ikitokea akapata mpango wa kwenda kuishi huko Uyahudi wake utakataliwa na kusema huyu si myahudi,hakuna myahudi mweupe hivi.huyu ni mzungu wa ulaya.
Acha uwongo wewe,Kuna wayahudi wengi tu hawana back ground ya uyahudi na Wala si waisraelHapa pa kubadili dini ndipo uongo wake unaonekana wazi wazi bila chenga
Dini ya kiyahudi hairuhusu mtu ambaye hakuzaliwa na mzazi myahudi kuingia dini ya kiyahudi
Wao hawahitaji mtu yeyote abadili dini aingie dini ya kiyahudi hilo halipo na wala hawatangazi dini yao kutafuta waumini kama Ukristo na uislamu unavyofanya
Wao kuwa dini ya kiyahudi lazima kixazi kiwe cha myahudi sio kubadili dini
Mimi mfano ni Mkristo leo hata nikitaka nibadili dini pamoja na mapenzi yangu yote kwa wayahudi hawatakubali
Ndio maana katika dini ambazo hazina ugomvi na dini yeyote duniani ni dini ya kiyahudi
Ila dini zingine kama baadhi ya matawi uislamu ndio wana ugomvi na dini zingine ikiwemo Ukristo ,uhindu,upagani na uyahudi nk
Mtu kwao asiye muislamu hujisikia.kukereka na kumuona asiye muislamu kama takataka fulani hivi.Dini ya kiyahudi wala wewe kaa na dini.lako wala hawakuhitaji ujiunge dini yao
Huyo Profesa muongo wa kutupwa na midevu yake kama ya Osama Bin Laden
Wayahudi waliopo pale Israel ni kizazi halisincha wazazi wayahudi kutokea Ibrahim
Kwa nini hawataki kukaa na hao palestineMfano Mngoni unawezaje kumwambia Eti yeye sio mtanzania kwa sababu Tu asili yake ni South Africa...
Mmasai unawezaje leo kumwambia Sio Mtanzania Au mkeny eti kisa tu Asili yake ni Ethiopia..
Kuna vitu huwa vinafikirisha Sana unajiuliza hivi huyu Phd aliipataje
Yeye ametoa mawazo amefunga mkono hoja ambayo ilishakuwepo? Embu tuwe broad minded jamani...
Hapa pa kubadili dini ndipo uongo wake unaonekana wazi wazi bila chenga
Dini ya kiyahudi hairuhusu mtu ambaye hakuzaliwa na mzazi myahudi kuingia dini ya kiyahudi
Wao hawahitaji mtu yeyote abadili dini aingie dini ya kiyahudi hilo halipo na wala hawatangazi dini yao kutafuta waumini kama Ukristo na uislamu unavyofanya
Wao kuwa dini ya kiyahudi lazima kixazi kiwe cha myahudi sio kubadili dini
Mimi mfano ni Mkristo leo hata nikitaka nibadili dini pamoja na mapenzi yangu yote kwa wayahudi hawatakubali
Ndio maana katika dini ambazo hazina ugomvi na dini yeyote duniani ni dini ya kiyahudi
Ila dini zingine kama baadhi ya matawi uislamu ndio wana ugomvi na dini zingine ikiwemo Ukristo ,uhindu,upagani na uyahudi nk
Mtu kwao asiye muislamu hujisikia.kukereka na kumuona asiye muislamu kama takataka fulani hivi.Dini ya kiyahudi wala wewe kaa na dini.lako wala hawakuhitaji ujiunge dini yao
Huyo Profesa muongo wa kutupwa na midevu yake kama ya Osama Bin Laden
Wayahudi waliopo pale Israel ni kizazi halisincha wazazi wayahudi kutokea Ibrahim
Nani kakwambia Trump ana asili ya Uyahudi?Familia ya Trump wazazi wake wana asili ya kiyahudi waliamia Marekani toka Udachi sababu ya maonevu ya mateso ya wayahudi na dini yao ndipo Donald Trump.akazaliwa Marekani akiwa mtoto wa wayahudi lakini wakaingia ukrisito lakini kule kwenye dini ya wayahudi wanawatambua kama wayahudi na dini ya kiyahudi
Ivanka mwanawe akaamua kuolewa na myahudi Jared akarudi dini yake ya kiyahudi huwezi ita alibadili sababu kazaliwa kupitia damu ya kizazi cha kiyahudi
2017 Raisi Trump kizazi cha kiyahudi alisaini decree hii hapa chini
NOW, THEREFORE, I, DONALD J. TRUMP, President of the United States of America, by virtue of the authority vested in me by the Constitution and the laws of the United States, do hereby proclaim May 2017 as Jewish American Heritage Month. I call upon all Americans to celebrate the heritage and contributions of American Jews and to observe this month with appropriate programs, activities, and ceremonies.
IN WITNESS WHEREOF, I have hereunto set my hand this twenty-eighth day of April, in the year two thousand seventeen, and of the Independence of the United States of America the two hundred and forty-first.
Wewe ndio umelewa kabisa bangi ya milima ya usambaa, Palestinians na Jews wapi na wapi. Hata Biblia husomi, bure kabisa.Wapalestina na Jews wengine wenye asili ya zamani wote ni Jews wa Kale, Wapalestina ni Jews wa Kale waliokuwa waisilamu ama wakristo.
Au hapa Tanzania tuseme ukoo wote wa Sykes sio watanzania kwa vile babu yao alitoka South Africa?Mfano Mngoni unawezaje kumwambia Eti yeye sio mtanzania kwa sababu Tu asili yake ni South Africa...
Mmasai unawezaje leo kumwambia Sio Mtanzania Au mkeny eti kisa tu Asili yake ni Ethiopia..
Kuna vitu huwa vinafikirisha Sana unajiuliza hivi huyu Phd aliipataje
Midevu yake kama yesuHapa pa kubadili dini ndipo uongo wake unaonekana wazi wazi bila chenga
Dini ya kiyahudi hairuhusu mtu ambaye hakuzaliwa na mzazi myahudi kuingia dini ya kiyahudi
Wao hawahitaji mtu yeyote abadili dini aingie dini ya kiyahudi hilo halipo na wala hawatangazi dini yao kutafuta waumini kama Ukristo na uislamu unavyofanya
Wao kuwa dini ya kiyahudi lazima kixazi kiwe cha myahudi sio kubadili dini
Mimi mfano ni Mkristo leo hata nikitaka nibadili dini pamoja na mapenzi yangu yote kwa wayahudi hawatakubali
Ndio maana katika dini ambazo hazina ugomvi na dini yeyote duniani ni dini ya kiyahudi
Ila dini zingine kama baadhi ya matawi uislamu ndio wana ugomvi na dini zingine ikiwemo Ukristo ,uhindu,upagani na uyahudi nk
Mtu kwao asiye muislamu hujisikia.kukereka na kumuona asiye muislamu kama takataka fulani hivi.Dini ya kiyahudi wala wewe kaa na dini.lako wala hawakuhitaji ujiunge dini yao
Huyo Profesa muongo wa kutupwa na midevu yake kama ya Osama Bin Laden
Wayahudi waliopo pale Israel ni kizazi halisincha wazazi wayahudi kutokea Ibrahim
Kinachoendelea Gaza huhitaji kuwa muislaam ili uwaonee huruma wapalestini,mtu yeyote anayejielewa angefanya kama walivofanya hamasi kunyanyaswa ktk nchi yako hakuna anaekubali ... Wasouth Africa wanajuwa uonevu hawakungoja kitu wametimuwa balozi wa wauwaji,,nyinyi huko makanisani sijui mnafundishwa nini na hao Bwajima mtihani kwelikweli.. Sasa naamini kweli uhuru walioupambania ni waislam..Upande wa pili haoni baya lolote toka kwa hawa blonde hair..chai imepoa sana ungeipasha moto kabla ya kuileta mezani JF, halafu haina sukari, halaf chai yenyewe imechacha, aisee kajipange tena najua unawaunga sana mkono magaidi ya kipalestina ila kwa chai hii hapana huwezi shawishi werevu kajipange tena!
Mbona unachanganya ni history hiyo yaani Mngoni akatae yeye hana asili ya South au huyo Syks akatae aseme yeye hana asili ya huko,na hao kinachoongelewa ni asili yao hao ni wazungu wazee wa kupigana nao kama Pope na huko Ghana Kadinali Mkuu anasema waruhusu kuchapwa nao kama anavotaka Babayenu wa Italy.Au hapa Tanzania tuseme ukoo wote wa Sykes sio watanzania kwa vile babu yao alitoka South Africa?
Yeah ndo nilichosema hapo juu kuwa Utaifa hauangalii Asili ila HalisiAu hapa Tanzania tuseme ukoo wote wa Sykes sio watanzania kwa vile babu yao alitoka South Africa?
IllegibleMbona unachanganya ni history hiyo yaani Mngoni akatae yeye hana asili ya South au huyo Syks akatae aseme yeye hana asili ya huko,na hao kinachoongelewa ni asili yao hao ni wazungu wazee wa kupigana nao kama Pope na huko Ghana Kadinali Mkuu anasema waruhusu kuchapwa nao kama anavotaka Babayenu wa Italy.