johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani BBC Dira ya Dunia wanatumia lugha gani mkuu?!!Sikiliza kwa makini au lugha shida😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani BBC Dira ya Dunia wanatumia lugha gani mkuu?!!Sikiliza kwa makini au lugha shida😂😂
Mungu anawaona mlioamua kuangamiza maisha ya Azori gwanda.Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.
Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.
Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.
Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
UPDATES;
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.
WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
UPDATES;
Kabudi akana kusema kwamba alithibitisha Azory Gwanda alifariki, zaidi soma;
Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda. Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko...www.jamiiforums.com
View attachment 1150947
pamoja na hayo, aliulizwa swali la mtego kwa kudandia lugha ya mdhungu akajifunga mwenyewe.unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufaNilichokisikia Kabudi alichosema na mnukuu "in Rufiji area not only Azory has dissapeared and die"
Wenye kujua lugha ya malikia tutafsirieni kwa kibantu.
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Wewe naona unachangia mada tu ila hukusikikiliza the actual interview!Akili zemu nyepesi sana..
Mnangangania tafsiri yenu ndio iwe universal..?!
Kusema amepotea na kufa bado ni assumption sababu hakupatikana, sasa nyny vichwa panzi mshatengeneza script..
hukusikia maneno: “DISPPEARED AND DIED”?Nimesoma kichwa cha thread, nikasema kama kapotea, Waziri atajuaje kwamba kafariki?
Nikasema ngoja nisikilize clip nimsikie Waziri.
Nimemsikia Waziri anachemka kama kawaida yake, kakosea jina, anataja Azory Rwanda.
Naona Rwanda imemkaa sana kichwani.
Lakini sijasikia Waziri akisema lolote kuhusu kifo.
Mtoa mada anaweza kutupa uhakikisho kwamba hiyo habari ya kifo kusemwa na Waziri ni ya kweli na si ya kutungwa tu?
kama ilisikiliza hiyo taarifa ya habari ya BBC Basi hukusikia interview halisi ambamo alisema anayotuhumiwa kusema.Basi lugha inakushinda unasikiliza lakini huelewi basi nakuwekea kwa kiswahili halafu tafuta link
View attachment 1150955
Mnapoquote mje na evidences, msije kijinga as if ni chadema. Prof alimuuliza mwandishi nipe evidence ni gazeti lipi limefungiwa tofauti na alilolitaja, mwandishi zuhura yunus hakutaja. Pia prof hajasema kuwa mwandishi alikufa. Labda kingereza hamjui nyie watu. Prof aliulizwa kuhusu mwandishi kupotea alichoongea ni general hakutaja mtu mmoja amesema waliopotea na kuuawa so hajajustfy kuwa mwandishi aliuliwaNimemuona katika kipindi cha Focus on Africa akihojiwa na Peter Okoche; the guy seems to be an incorrigible liar! Alipoulizwa kuhusu magazeti na vituo vya radio kufungiwa alikana na kudai kuwa ni gazeti moja tu, The Citizen ndiyo iliyopata kufungiwa; tena kwa wiki moja! Kwa hiyo kulingana na waziri wetu Mseto, Mwanahalisi, Mawio, nk yamejifungia yenyewe! Incredible.
Umeandika ujïnga mtupuNimesikiliza mahojiano yote. Hajasema Azory ameuawa, ametumia utetezi ambao si mgeni toka matukio hayo yatokee.
Wengi mnaopiga kelele na kumbeza Prof Kabudi mngewekwa kwenye nafasi yake mngeongea hivyo hivyo. Wengine kwenye taasisi zenu huko ni waoga na waunga mkono juhudi wakubwa lakini ukishaingia kwenye fake ID ndio unajifanya kushangaa wengine.
Nimeangalia video yote wala haina mjadala mpya. Alafu tukumbushane uchaguzi wa serikali za mitaa unanukia, jamaa zetu wapo wapo tu alafu baadae watalia na wizi wa kura.
Acha unafiki.....disappeared and died Hujui tafsir hiiMnapoquote mje na evidences, msije kijinga as if ni chadema. Prof alimuuliza mwandishi nipe evidence ni gazeti lipi limefungiwa tofauti na alilolitaja, mwandishi zuhura yunus hakutaja. Pia prof hajasema kuwa mwandishi alikufa. Labda kingereza hamjui nyie watu. Prof aliulizwa kuhusu mwandishi kupotea alichoongea ni general hakutaja mtu mmoja amesema waliopotea na kuuawa so hajajustfy kuwa mwandishi aliuliwa
Kuna mpaka transcripts watu wameweka hapa, profesa kasema Azory na wenzake who "disappeared and died".Mnapoquote mje na evidences, msije kijinga as if ni chadema. Prof alimuuliza mwandishi nipe evidence ni gazeti lipi limefungiwa tofauti na alilolitaja, mwandishi zuhura yunus hakutaja. Pia prof hajasema kuwa mwandishi alikufa. Labda kingereza hamjui nyie watu. Prof aliulizwa kuhusu mwandishi kupotea alichoongea ni general hakutaja mtu mmoja amesema waliopotea na kuuawa so hajajustfy kuwa mwandishi aliuliwa
Nakuomba pm tafadhali kama hutajaliKwa miguu
Nakuomba pm tafadhali kama hutajali
Kabadili Gia naona![]()
Focus on Africa - Tanzania Minister defends country's record on media freedom - BBC Sounds
The Foreign Minister of Tanzania is at the Global Conference for Media Freedom in Londonwww.bbc.co.uk
Hapa Kabudi kakiri kabisa kuwa Azory amefariki
Rufiji area...dissapeared and died.....Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.
Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.
Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.
Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
UPDATES;
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.
WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
UPDATES;
Kabudi akana kusema kwamba alithibitisha Azory Gwanda alifariki, zaidi soma;
Waziri Kabudi akanusha kuthibitisha kifo cha Mwanahabari, Azory Gwanda
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekanusha kuwa amethibitisha 'kifo' cha mwanahabari Azory Gwanda. Msemaji mkuu wa serikali ya Tanzania, Dkt Hassan Abbas amemnukuu Profesa Kabudi kwa kupitia mtandao wake wa kijamii wa Twitter akisema: "Nimepokea kwa masikitiko...www.jamiiforums.com
View attachment 1150947