pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
July 10, 2019
London, UK
BBC Focus on Africa interviews Tanzania's Foreign Minister Prof. Palamagamba Kabudi on media freedom
Amesema not only azory disappeared and died
Amejuaje kwamba kafariki?Mimi ni mwana CCM,naipenda nchi yangu na serikali ya awamu ya tano,lakini haya mambo siyapendi kabisa.Yanaleta ukakasi na yanakichafua chama na serikali sana.Tatizo ni kwamba wema huwa hauvumi,ubaya ndio unaovuma.Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.
Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.
Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.
Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
UPDATES;
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.
WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
Hakika!Aiseee porofesa kabugi hapo alipotumia "and" kwenye ishu ya Azory..angetumia "or" wala huu uzi usingepandishwa hapa. Nadhani angesema [In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared OR died] ila aliposema "In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared AND died" hapo ndo ukakasi ulipoanzia....facial expression ya mwandishi tho.....mmmmhhh...Kabudi weeeee....Kama namuona Jiwe.
Kweli kabisaMchawi kuna siku ata jisema tu.
Utakua na wewe ni wale waliookotwa jalalani, wapumbavu wenye kujipendekeza.Nadhani kiingereza bado ni lugha ngumu kwetu kama si hivyo mnapotosha makusudi. Hakuna sentensi ambayo waziri amesema azory amekufa. Mwandishi amemuuliza yupo wapi azory Gwanda? Waziri amejibu kiujumla kwamba, MKIRU ni moja kati ya matukio mabaya ambayo nchi iliipata toka tumepata uhuru, viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa CCM, na polisi waliuwawa. Serikali inafanya jitihada kuzuia matukio kama hayo kuendelea maeneo mengine nchini.
Japo najua pro kabudi hapendwi na baadhi ya watanzania, il kwasasa nchi imepata FM bora kabisa kuwahi kutokea
The irreplaceable
Nimesikia akitoa maelezo mengi kuhusu kuuawa kwa watu wengi akiwemo Azory Gwanda.Umesikia hivyo tu?
Itendee haki nafsi yako ndugu mtanzania, upotoshaji hautosaidia taifa hili bali kujaza chuki zisizo sababu..
Ukisha jilisha upepo Wa aina hii kisha unarejeshaje maisha ya hao watu waliopotea na kufa mkiru?
Umepata wasaa wa kusikiliza mahojiano yake na Zuhura Yunus kwa lugha ya kiswahili ?Mimi sipo kumtetea mtu yeyote. Natetea ukweli.
Nimesikiliza clip lakini sijasikia Waziri aliposema khusu kufariki.
Unaweza kutuwekea clip hiyo tumsikie Waziri mwenyewe anaongea kuhusu kufariki?
Jambo hili ni muhimu. Kwa sababu kama Waziri kasema habari za kufariki, tunataka tumbane, amejuaje habari za kwamba mtu aliyepotea amefariki?
Tuwekee clip ya Waziri kusema habari ya kufariki.
Waziri kasema hivyo!Mkuu sorry, kwa hio azory amefariki?
Bwashee mbwiga BBC Dira ya Dunia wanatumia Kiswahili fasaha!Kiingereza unakielewa japo kidogo?
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Hii ndiyo statement ya Kabudi mwenyewe:maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine