pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,559
Kwa matusi tuu na maneno ya kuudhi, mmejaaliwa nyie, kuanzia baba yenu anaewaita wenzie wapumbavu mpaka nyie wa buku 7 mitandaoni.. Argue the point not the person.. Kabudi amesema hapo kwamba sio Azory peke yake aliepotea na kufa huko kibiti.. Hajasema sio Azory peke yake aliepotea au kufa.. Badala ya maneno ya kukerehesha, elezea wewe ufahamu wako kwa hiyo kauli..
hyo NA ndo imeleta ukakasi