Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Nadhani kiingereza bado ni lugha ngumu kwetu kama si hivyo mnapotosha makusudi. Hakuna sentensi ambayo waziri amesema azory amekufa. Mwandishi amemuuliza yupo wapi azory Gwanda? Waziri amejibu kiujumla kwamba, MKIRU ni moja kati ya matukio mabaya ambayo nchi iliipata toka tumepata uhuru, viongozi wa serikali za mtaa, viongozi wa CCM, na polisi waliuwawa. Serikali inafanya jitihada kuzuia matukio kama hayo kuendelea maeneo mengine nchini.

Japo najua pro kabudi hapendwi na baadhi ya watanzania, il kwasasa nchi imepata FM bora kabisa kuwahi kutokea

The irreplaceable
Labda hajui kiingereza au hujasikia vizuri soma na maeneo
 
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947















Hivi ni kwanini Kabudi akiwa anaongea anapenda sana Kutumbua Macho yake huku Mate yakimruka sana kutokea Mdomoni mwake?
 
Hongera sana waziri wetu, Profesa Palamagamba Kabudi, msomi nguli wa sheria! Hakika umethibitisha kwamba kweli wewe ni msomi unayeitendea haki taaluma yako! Msomi wa kweli lazima asimamie kweli! Hatimae umewasaidia wanafamilia wa Azory, manake endapo wangekuwa Waislamu, hivi sasa wangeandaa tu hitima basi, manake hakuna sababu tena ya kumsubiria maiti! Azory Gwanda amekufa! Nimekosea, Azory Gwanda ameuawa na waziri wetu amelisema hilo bila kupepesa macho!

Rule of thumb ni kwamba, an experienced murderer hawezi kujishitaki wala kujipeleka kwa vyombo vya sheria! Serikali ikimfahamu muuaji haiwezi kuchukua hata saa moja kabla haijamtia nguvuni kwavile inafahamu muuaji mwenyewe hawezi kujipeleka! Sasa ikiwa tayari serikali inafahamu kwamba Azory ameuawa, kwanini hadi sasa haijamkamata muuaji wa Azory na kumfungulia mashitaka?! Let me guess, by Rule of Thumb, an Experienced Murderer hawezi kujipeleka mwenyewe kwenye nguvu za dola!!

#BringBackGwanda'sCorpse"
 
Mimi sipo kumtetea mtu yeyote. Natetea ukweli.

Nimesikiliza clip lakini sijasikia Waziri aliposema khusu kufariki.

Unaweza kutuwekea clip hiyo tumsikie Waziri mwenyewe anaongea kuhusu kufariki?

Jambo hili ni muhimu. Kwa sababu kama Waziri kasema habari za kufariki, tunataka tumbane, amejuaje habari za kwamba mtu aliyepotea amefariki?

Tuwekee clip ya Waziri kusema habari ya kufariki.
 
Hata hiko cheo unachoona angetakiwa kuwemo hafai kabisa kuwemo.
Prof cant be a leader at all.
Nakumbuka ban pekee niliyopigwa hapa JF ni kumwita Prof Kibudu (nikimaanisha mawazo yake ni mfu).
Mwisho wa siku rais kaja kusema hadharani anamwita Pumbavu.

Ye mwenyewe anajua katokea 'jalalani'
Wengine washaamua kuwa malaya wa kifalsafa ili kutumika tumbo.

Kawwatukana ndugu zake wote na jamii ya wasomi kwa kusema katoka jalalani.
 
Hivi kupotea kwa mwandishi ni zaidi ya kupotea kwa rai mwingine? Mbona tunasikia watu Rufiji walikufa wengi inakuweje anayeonekana ni binadamu ni Azory Gwanda pekee? Kwanini tusiwandike na wengine? Au kazidi ubinadamu zaidi ya walipoteza maisha Rufiji?
Usidogoshe uhai wa mtu mmoja kama vile huyo mtu mmoja hana thamani yoyote.
Kwa kutojali uhai wa mtu mmoja ndio maana Prof Majalala katuthibitishia Azory alipotea na kufariki.
Zitto alikuja na list ya watu zaidi ya 400 waliopotea/kuteswa. Ulizia kwa serikali kama watu hao wamepatikana? Watu wasiojulikana wanaohusika na utekaji/uoptezwaji wa watu MKIRU wameshakamatwa??
 
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
Jana DW radio walikuwa na kipindi cha mbiu ya mnyonge. Imenisikitisha sana.
Waliongelea matukio ya utekwaji na mauaji yanayoendelea Tanzania bila vyombo vya dola kutoa majibu ya maana au kujikalia tu kimya kama hakuna kinachoendelea.
Wameielezea Tz iliyokuwa inajulikana kama kisiwa cha amani kwa sasa imegeuka kuwa nchi ya hofu na kukosa matumaini kwa raia wake kuiona kesho.
Uhuru wa maoni umeuawa, haki za binadamu kutoheshimiwa na demokrasia kuminywa imekuwa ni maisha ya watanzania kwa sasa.
Imeniuma kweli!

Ni wapi kama taifa tumekosea?
 
Huyu dada angekuwa TZ, kesho angefungiwa kutangaza, sio kwa kumfanya Prof atoe macho hivi !
em mwambieni huyo dada Zuhra anywe soda hapo nnje ya baridi...nakuja kulipia!
 
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
hivi huyu ni professor kweli ,basi ni hatari kwa taifa
 
maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Umelewa alichoongea? Kifupi amesema hivi, ''Si yeye (Azory) pekee ndiyo amepotea na kufa....''. Japokuwa Lugha ya kiswahili ni yetu, lakini si vibaya kuzijua na Lugha zingine
 
Yaani Kabudi hata jina linamshinda anasema Azory Rwanda mara Azory he is totally disconnected...anatia aibu sana yaani miaka yote ya kufundisha still unapapalika kwenye kuongea kwenye one on one hahaha....
Kwa hiyo Azory is dead basi sawa....
 
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
Mungu mpokee mtumishi wako Azory Gwanda
 
Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947
Mungu mpokee mtumishi wako Azory Gwanda
 
Back
Top Bottom