Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Mungu anawaona mlioamua kuangamiza maisha ya Azori gwanda.
 
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
pamoja na hayo, aliulizwa swali la mtego kwa kudandia lugha ya mdhungu akajifunga mwenyewe.
 
Nilichokisikia Kabudi alichosema na mnukuu "in Rufiji area not only Azory has dissapeared and die"

Wenye kujua lugha ya malikia tutafsirieni kwa kibantu.
 
Nilichokisikia Kabudi alichosema na mnukuu "in Rufiji area not only Azory has dissapeared and die"

Wenye kujua lugha ya malikia tutafsirieni kwa kibantu.
Katika eneo la Rufiji si Azory pekee aliyepotea na kufa
 
July 12, 2019
London, Uingereza

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Prof. Palamagamba Kabudi ametoa taarifa rasmi juu ya kuhuzunishwa na habari zinazosambaa mitandaoni juu ya mahojiano yake na BBC kuhusu mwandishi wa habari Azory Gwanda aliyetoweka.

Prof. Kabudi akiisoma taarifa yake fupi na kwa umakini mkubwa mbele ya kamera, amesema alinukuliwa vibaya katika mahojiano yake na BBC Focus on Africa.

Na ukweli ni kuwa, hakuthibitisha kifo cha Azory Gwanda kutokea na bado vyombo vya usalama vya Tanzania vinaendelea na uchunguzi kufahamu alipo mwandishi Azory Gwanda.
Source : Millard Ayo
 
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi

Bila shaka na wewe, kama ilivyo kwa Kabudi, umetolewa Jalalani!
 
Akili zemu nyepesi sana..
Mnangangania tafsiri yenu ndio iwe universal..?!

Kusema amepotea na kufa bado ni assumption sababu hakupatikana, sasa nyny vichwa panzi mshatengeneza script..
Wewe naona unachangia mada tu ila hukusikikiliza the actual interview!
 
hukusikia maneno: “DISPPEARED AND DIED”?
 
Mnapoquote mje na evidences, msije kijinga as if ni chadema. Prof alimuuliza mwandishi nipe evidence ni gazeti lipi limefungiwa tofauti na alilolitaja, mwandishi zuhura yunus hakutaja. Pia prof hajasema kuwa mwandishi alikufa. Labda kingereza hamjui nyie watu. Prof aliulizwa kuhusu mwandishi kupotea alichoongea ni general hakutaja mtu mmoja amesema waliopotea na kuuawa so hajajustfy kuwa mwandishi aliuliwa
 
Umeandika ujïnga mtupu
 
Acha unafiki.....disappeared and died Hujui tafsir hii
 
Kuna mpaka transcripts watu wameweka hapa, profesa kasema Azory na wenzake who "disappeared and died".

Maana yake wamepotea na kufa, si wamepotea au kufa.

Maneno "na" au "au" yanabadilisha kabisa maana.
 
Nimeshindwa kuconclude hii kashfa kwa serikali ya kuhusiana na usalama wa watu wake kwa kwa kauli hii alio itoa huyu profesa ya kusema it is not only personal disappeared and died mkuranga Rufiji kuna hoja mbili kwa member wezangu wazitafakali huwenda majibu yatapatikana kwa vile wakati unavyo onyesha
Kwanza kwanini ameweza kudhibitisha kuwa uwenda azory ngwanda ame kufa na wengine hi hali mwili wa marehemu hatujauona
Pili kwani baada ya mazungumzo yake .kwa lugha ya kimombo kwanini alikana maneno yake kunani kwa hili
Na mwisho niwape pole kwa wale wote waliopoteza ndugu na jamaa katika ile ajali ya Coaster ilikuwa inatoka dar es Salam kueleke chato mkoani geita tukio lilipotokea kati ya barabara ya singida na igunga.
 
Rufiji area...dissapeared and died.....

The level of conviction and assurance over the matter🙌🏽🙌🏽🙌🏽

RIP Azory
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…