Prof. Safari: Tume ya Warioba ifikirie kuingiza mahakama ya kadhi ndani ya katiba mpya

Prof. Safari: Tume ya Warioba ifikirie kuingiza mahakama ya kadhi ndani ya katiba mpya

Unaposema Katoliki wana Mahakama yao unamaanisha nini? Mahakama ya Katoliki si ndiyo hii tunayoitumia wote?,

Shirikisha brain kabla hujapost chochote. Usiwe na uwezo mdogo wa uelewa kama wale wauza dawa za kisuna za nguvu za kiume nje ya misikiti
 
Hahahha sasa hivi watamgeuka prof safari ngoja waamke kesho utaona povu lao hapa,na wataokuja kumpiga safari sio wafuasi wa ccm ni hao hao wenzake,rangi ya cdm bwana huwa haijifichi kwenye masuala kama haya,
Hongera kwa kuchangia. Ila umechangia pumba
 
Akihitimisha hoja zake katika kipindi cha this week in perspective kinachoongozwa na Adam Simbeye (TBC) leo usiku saa 4 tarehe 14/06/2013, Prof. Safari amesema kuna mambo mawili yanayosababisha kutokuelewana miongoni mwa watu duniani; migogoro ya kidini na kugombea rasilimali.

Hivyo ili kuliepusha taifa la Tanzania katika migogoro ya kidini ni budi tume ya mabadiliko ya katiba inayoongozwa na Jaji Warioba ione uwezekano wa kuingiza mahakama ya kadhi katika rasimu ya katiba mpya! Kwa maoni yake ni kwamba nchi zote zinazotuzunguka zimeanzisha mahakama hizo, hivyo Tanzania haiwezi ikawa tofauti! Suala hili ni kwa maslahi ya ustawi wa Tanzania!
Hapo nyekundu ndo ameniacha.. Siamini Prof mzima aseme hayo.. hivi kila kinachofanywa na jirani yako ni lazima tuige??? Basi tuanze na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama wafanyavyo majirani zetu wengi. Du! kama kweli yupo Chadema atakuwa mzigo usiobebeka.
Maoni yangu na ya wengi... mahakama ya kadhi isionekane kwenye katiba ya JMT, na ya Tanganyika. Kama ambavyo kuna madhehebu mengi Tanganyika. Vivyo hivyo na sheria zao na mahakama zao, hata wakitaka kwenye familia zao.. Sasa huyo msomi wa Chadema anatuambia nini? Asituchanganye bwana, kama keshanunuliwa, aseme.
 
Mtei atamvua uanachama shauri yake! Ukiwa huko ni Marufuku, Strictly prohibited kutetea Waislam ikibidi unaruhusiwa kuwa Wakili wa Serikal kwa muda, Slaa kwenye ishu ya Sensa na MOU alijikabidhi kazi ya kuwa mtetezi wa serikal, namshauri huyo Prof kuhakikisha vigezo na masharti ya kuwa huko vinazingatiwa!
vip zitto kavuliwa uanachama kwa kuwatetea waislamu bungeni? Ukiwa mwongo kwa umri wako,jiandae kuwa mchawi uzeeni!
 
CCM haikubali mahakama za kadhi! Chadema pia haitaki! Waislamu wanasubiri chama kinachokubali mahakama ya kadhi ili wapate kura zao! CCM na Chadema msimamo wao ni mmoja!
chama hicho ni cuf, watanzania wengi hawawezi kukichagua chama hicho chenye mrengo wa uliberali!
 
Wengi tungependa kusema iendeshwe kwa gharama za Waislam wenyewe, lakini hizo kesi za Mirathi na Ndoa, za waumini wa kiislam ambazo sasa zinaenda kwenye mahakama za kawaida, zinagharamiwa na nani? Serikali au Waislam?
Umeua!
 
Ni vizuri Watanzania kujifunza kusikiliza maoni ya watu wengine. Mimi si Muislam lakini siwezi kamwe kukimbilia kusema kuwa ni wazo baya kama sina ufahamu wa kutosha kuhusu maoni yaliyotolewa.

Naamini hakuna mtu anayepinga uanzishaji wa Mahakama ya Kadhi, mjadala mkubwa ilikuwa iendeshwe kwa gharama ya nani, serikali au waislam wenyewe? Wengi tungependa kusema iendeshwe kwa gharama za Waislam wenyewe, lakini hizo kesi za Mirathi na Ndoa, za waumini wa kiislam ambazo sasa zinaenda kwenye mahakama za kawaida, zinagharamiwa na nani? Serikali au Waislam?
Issue ni kwamba hata wakristu nao watadai, then mahakama ya serikali itabaki na nani?Sidhani km umeona hasara ingine hapa yaani mahakimu wa hizo mahakama watalipwa na nani?Na hizo mahakama zitatumia majengo gani?Vipi kuhusu stationery,umeme na mengine?

Leo ktk mahakama za kawaida, gharama ni zilezile kwa raia wote....unachosema ktk uchumi ni km kuwa na member kadhaa wanaokula nje ya nyumba na hapo hapoa kula kilihcopikwa nyumbani kwa gharama wanafamilia wengine.

Pia ikitokea walio ktk familia mseto wakikosa haki, sijui mahakama nyingine zitaingiaje?Na km zitaingilia baadaye kwanini zisisimamie mashauri hayo tangu mwanzoni?

Waislam wafaanye mambo yao km wafanyavyo wana ukoo,au makanisa..waumini kuwajibika wenyewe ktk mahakana za misikiti,wakishindwa wende ktk mahakama nyingine.
 
Shirikisha brain kabla hujapost chochote. Usiwe na uwezo mdogo wa uelewa kama wale wauza dawa za kisuna za nguvu za kiume nje ya misikiti

wewe ndio unapaswa kushirikisha Ubongo wako, mfumo wa Mahakama yetu ni Katoliki!

 

Hapo nyekundu ndo ameniacha.. Siamini Prof mzima aseme hayo.. hivi kila kinachofanywa na jirani yako ni lazima tuige??? Basi tuanze na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama wafanyavyo majirani zetu wengi. Du! kama kweli yupo Chadema atakuwa mzigo usiobebeka.
Maoni yangu na ya wengi... mahakama ya kadhi isionekane kwenye katiba ya JMT, na ya Tanganyika. Kama ambavyo kuna madhehebu mengi Tanganyika. Vivyo hivyo na sheria zao na mahakama zao, hata wakitaka kwenye familia zao.. Sasa huyo msomi wa Chadema anatuambia nini? Asituchanganye bwana, kama keshanunuliwa, aseme.
[/QUOTE]
Hoja yake ya msingi hapa ni kuwa katika nchi za jirani kama Kenya, Uganda na Mozambique kuna mahakama za kadhi na hakuna mfarakano wala mgongano wa kisheria. Aidha mahakama hizi zinaendeshwa na serikali bila kujali fedha za kuendesha mahakama hizo zinapatina namna gani! Isitoshe wenzetu Zanzibar wana mahakama za kadhi na zinaendeshwa na serikali!
 
Mkuu kuna kitu watanzania wakiislam wanachanganya. Population ya Waislam Uganda na Kenya ni very minimal kiasi kwamba hata ukiruhusu matakwa yote ya waislam nchi haitavurugika. Huku kwetu ni tofauti. Ni kama Nigeria. Tupo karibu idadi sawa. Sasa Serikali lazima iwe makini yasitokee ya Nigeria au Sudan kiasi cha nchi kugawanywa ingawa kwa Sudan udini was not the case lakini ulikuwepo. Ni sawa huku kwetu mabudha waseme wanataka mahakama yao...ukiwaruhusu hutaona kelele kwakuwa ni kundi dogo sana

hawajawahi jiuliza kama waislam duniani watashinda, Je wanajua ni kiasi ana watafaidi ukilinganisha na waarabu,au watu wa rangi nyingine?Ktk uislam waarabu na wairan ndio wenye dini.
 
Chadema inaunga mkono mahakama ya kadhi iendeshwe na waislam wenyewe sio na serikali inayotegemea kodi kwenye Bia, Sigara, Kondom, Guest houses, mabucha ya nguruwe n.k...Kwa kutaka Serikali iiendeshe hiyo mahakama ni kuinajisi.

Wabilah Tawfiq,
Mzito Kabwela

Mzito kuna swali liliulizwa kwamba kwa sasa kesi zinahusu mirathi , talaka zinaendeshwa na mahakama zetu hizi hizi , nani analipia gharama? katika hizo pesa hamna zinatoka kwenye bia, ? lakini swali la kujiuliza ikiwa waislam wataachwa kugharamia wenyewe mahakama ya kadhi je watawajibika kulipa kodi kwa serilkali kuu.

Kwa maoni yangu nafikiri bado panahitajika mchango wa serikali kwa sababu ili sheria itekelezwe kuna polisi, na mahakama,
 

Hapo nyekundu ndo ameniacha.. Siamini Prof mzima aseme hayo.. hivi kila kinachofanywa na jirani yako ni lazima tuige??? Basi tuanze na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama wafanyavyo majirani zetu wengi. Du! kama kweli yupo Chadema atakuwa mzigo usiobebeka.
Maoni yangu na ya wengi... mahakama ya kadhi isionekane kwenye katiba ya JMT, na ya Tanganyika. Kama ambavyo kuna madhehebu mengi Tanganyika. Vivyo hivyo na sheria zao na mahakama zao, hata wakitaka kwenye familia zao.. Sasa huyo msomi wa Chadema anatuambia nini? Asituchanganye bwana, kama keshanunuliwa, aseme.

Hoja yake ya msingi hapa ni kuwa katika nchi za jirani kama Kenya, Uganda na Mozambique kuna mahakama za kadhi na hakuna mfarakano wala mgongano wa kisheria. Aidha mahakama hizi zinaendeshwa na serikali bila kujali fedha za kuendesha mahakama hizo zinapatina namna gani! Isitoshe wenzetu Zanzibar wana mahakama za kadhi na zinaendeshwa na serikali![/QUOTE]

Hivi mf wakristo leo hii na wao wakidai wanataka kuanzisha mahakama zao, si lazima pawe na msingi wa madai yao? na bila shaka msingi wa madai yao utakuwa ni Bible sasa kama biblia imeweka sheria hiyo na wakristo walikuwa hawaifuati ni swala jingine lakini kama hamna na wakataka tu kuanzisha mahakamakwa sababu waislam wameanzisha huo ni utata.
 
Afukuzwe uanachama tu, hatutaki misikule kwenye chama!

Hongera kwa kutokuwa Mnafki, kwa kuwa mnataka mahkama ya kadhi igharamiwe na waislam wenyewe, basi natarajia pia mmependekeze mahkama ya biashara igharamiwe na wafanyabiashara wenyewe, Ya Ardhi igharamiwe na wenye Ardhi pekee ili nasi tusiingizwe kwenye Mzigo usiotuhusu!
 
Sidhani km umeona hasara ingine hapa yaani mahakimu wa hizo mahakama watalipwa na nani?Na hizo mahakama zitatumia majengo gani?Vipi kuhusu stationery,umeme na mengine?
Huoni kuwa Mahakama za Kadhi zitazipunguzia mzigo mkubwa sana Mahakama za kawaida ambapo zitakuwa na nafasi kubwa sana ya kushughulika na kesi nyingi kinyume na sasa hivi ambapo inapita miaka kwa kesi nyingine bila kushughulikiwa?

...nairudia tena point iliyoletwa: kwa utaratibu wa sasa hivi gharama za kushughulikia kesi za Waislamu katika mahakama za kawaida hugharamiwa na serikali!
 
Back
Top Bottom