Bharabhona kitwe
Member
- Dec 21, 2012
- 28
- 3
Nimeyakuza na kuyapaka rangi maneno yako hapo juu ili kuonyesha msisitizo.. infact hizo ndio sifa zako kwa sababu huoni hata hoja iliyopo nyumba ya wanaopinga hukumu hii.. umeshindwa kuona jinsi mahakama ilivyopinda sheria(bila kujali uzuri au ubaya wa sheria husika) na umeshindwa kuona hata mawakili na wanasheria waliobobea wanapotoa matamshi kwaba"""" HAPA MAHAKAMA IMETUNGA SHERIA MPYA""""
Sisi tuliobahatika kupata exposure kwa wenzetu ambako demokrasia imekomaa, no voter would dream of going to court to challenge an election result based on mgombea anayemtaka kushindwa uchaguzi kwa sababu alikashifiwa kwenye kampeni huku mhusika hayuko tayari hata kuwa shahidi mahakamani.
EMT.
Mimi sio mtaalamu wa sheria lakini kwa jinsi nilivyofuatilia wataalamu wengi wa sheria wanachopinga ile statement ya "mpiga kura hana haki ya kufungua kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi"
Hata mimi naona ulakini katika hapo, mahakama ilipotumia statement kuamua rufanu ile imekuwa kama wametunga sheria mpya.
So a voter has no right to petition and challenge the election results where his rights were not infringed.
Kupinga au kuunga mkono kwenye masuala ya kisheria ni jambo la kawaida ndiyo maana kukawa na upenyo wa kukata rufaa. Kimsingi masuala ya kisheria siyo sawa na hesabu ambapo moja na moja ni mbili. Kwenye sheria hakuna kukosea au kupatia hadi hukumu ya mwisho kwenye ngazi ya mwisho. Hivyo Shivji hajakosea sawa na akina Lissu wanaopingana na hoja ya Shivji.
Hapana! Pamoja na kwamba sikubaliani na argument ya Prof. Shivji sidhani kama amewatusi majaji waliotoa hukumu.
It is normal in the legal field to criticise court judgements. Ndiyo maana kwenye nchi za watu controversial decision kama hii inazalisha articles hata 500 within the first few months, some applauding, others, criticising, the decision.
It is normal kabisa na kufanya hivyo haina maana kuwa mtu ana-question intergrity ya jaji aliyetoa hukumu.
Tumefundishwa kukubaliana kutokubaliana. Kwa vile sijakubaliana na wewe haina maana kuwa nimekudharau au nimekutusi.
You will still be my learned brother/sister. lol.
Hii thread ni muhimu sana kwa kujifunza.
Sisi ambao hatujui sheria nashauri tukae pembeni na kuwaacha wenye ujuzi watuelemishe.
Hili suala halina siasa ndani yake wala halina uhusiano na Lema kurudishiwa ubunge au kutokurudishiwa. Hii ni tafsiri kubwa zaidi ya siasa za CCM na CHADEMA.
Tusiivuruge kwa mapenzi ya vyama vya siasa na badala yake tuwaachie wanaojua kuliko sisi watuelemishe.
Hujamalizia hiyo statement, angalia hapa chini
Shivja anaijadili sheria ilivyo lakini hakuangalia sheria hiyo katika uchaguzi huo wanaopinga matokea waliathiriwaje na madai yao kitu ambacho mahakama imeegemea kutoa hukumu yake. Hao wapiga kura hawakutukanwa na Lema sasa wanasimamaje kudai haki mahakamani wakati aliyetukanwa hakulalamika wala kuwa mmoja wapo wa mashahidi. Pamoja na ugwiji wa sheria katika hali kachemka sana.
shivji anachemka katika hili
...kindly dissect it kwa faida ya jukwaa...Unaanza kwa kusema hukushiriki vilivyo katika mjadala, maana yake hujui nini kilisemwa na kusemwuka.
Halafu una offer vi opinion and whimsical witticism, bila kujua unaongelea nini.
Exactly my sentiments.
Your post is a disgrace, from head to toe. Now don't make me dissect it.
Shivja anaijadili sheria ilivyo lakini hakuangalia sheria hiyo katika uchaguzi huo wanaopinga matokea waliathiriwaje na madai yao kitu ambacho mahakama imeegemea kutoa hukumu yake. Hao wapiga kura hawakutukanwa na Lema sasa wanasimamaje kudai haki mahakamani wakati aliyetukanwa hakulalamika wala kuwa mmoja wapo wa mashahidi. Pamoja na ugwiji wa sheria katika hali kachemka sana.
Hata kama Shivji yuko sahihi kuhusu haki ya mpiga kura, bado kesi husika ilikuwa ya kutunga na hawakuweza kuthibitisha madai yao! Pure CCM political games! Ni kupoteza wakati kujadili case zinazotungwa LUMUMBA!
Kwa hiyo mpigakura aliejiandikisha Chakechake ana HAKI ya kupinga matokeo ya udiwani Ngara? Kumbuka kuwa mpigakura aliejiandikisha Chakechake hawezi kupiga kura ya ubunge au udiwani Ngara!
sheria za vioja hatutaki.mfano.mie naishi Tabora kata ya kanyenye na nimejiandikisha kanyenye.niende nikapinge matokeo ya musoma mjini kwa kuwa tu mie ni mpiga kura Tabora.