Bharabhona kitwe
Member
- Dec 21, 2012
- 28
- 3
Sawa professor shivji,wanasema Lema alitumia matusi kwenye kampeni,lakini je matusi hayo yaliathiri vp uchaguzi na huyo mchaguaji aliathirika vp?Mimi nadhani mahakama imewatendea haki wanachi wa Arusha mjini kuwarudishia mwakilishi wao kipenzi mjengoni.Na tumuunge mkono mbunge huyo kimawazo,kiushauri ili Arusha mjini irudi juu