EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Halafu ngoja kwanza, hivi udiwani na ubunge upi ambao ni local election?
Fasili ya diwani, mbunge, na bunge, kwa mujibu ya Kamusi ya Kiswahili Sanifu ya Oxford, Toleo la Pili chapisho la mwaka 2012 (na ukitaka namba ya Cheti cha Ithibati kutoka Wizara ya Elimu na Utamaduni nitakupatia, lol) ni kama ifuatavyo;
Nani kati ya mbunge na diwani anayekuhusu zaidi kama mwananchi?
Kwani mahakama kuu imesema kuwa hukumu yake ina-apply kwa wabunge tuu?