Prof. Shivji haaminiki tena huwa anatumika na ni kigeugeu hivyo apuuzwe ktk hoja zake anatoa kupinga ubia wa serikali ya Tanzania na DP World kuendesha bandari..
Kama mnakumbuka prof. Shivji ameandika machapisho mengi sana kuhusiana na utata na udhaifu wa muundo wa muungano wetu wa serikali mbili. Alikuwa mkosaoji mkubwa sana wa muundo huu wa muungano.
Lakini (sina ushahidi Ila nina 80%) mwaka 2014 baada ya kupewa kitu kidogo prof. Shivji alibadilika na kuyasaliti machapisho yake yaliyokuwa yanapendekeza serikali tatu. Akaiunga mkono ccm ktk kuutetea muundo wa muungano wa serikali mbili.
Kwahiyo hata ktk suala hili la DP World ninaamini prof. Shivji anatumika.
Apuuzwe prof. huyu.
Kama mnakumbuka prof. Shivji ameandika machapisho mengi sana kuhusiana na utata na udhaifu wa muundo wa muungano wetu wa serikali mbili. Alikuwa mkosaoji mkubwa sana wa muundo huu wa muungano.
Lakini (sina ushahidi Ila nina 80%) mwaka 2014 baada ya kupewa kitu kidogo prof. Shivji alibadilika na kuyasaliti machapisho yake yaliyokuwa yanapendekeza serikali tatu. Akaiunga mkono ccm ktk kuutetea muundo wa muungano wa serikali mbili.
Kwahiyo hata ktk suala hili la DP World ninaamini prof. Shivji anatumika.
Apuuzwe prof. huyu.