Prof. Shivji apuuzwe, ni kigeugeu. Alisaliti machapisho yake ya serikali tatu wakati wa bunge la katiba

Prof. Shivji apuuzwe, ni kigeugeu. Alisaliti machapisho yake ya serikali tatu wakati wa bunge la katiba

Prof. Shivji haaminiki tena huwa anatumika na ni kigeugeu hivyo apuuzwe ktk hoja zake anatoa kupinga ubia wa serikali ya Tanzania na DP World kuendesha bandari..

Kama mnakumbuka prof. Shivji ameandika machapisho mengi sana kuhusiana na utata na udhaifu wa muundo wa muungano wetu wa serikali mbili. Alikuwa mkosaoji mkubwa sana wa muundo huu wa muungano.

Lakini (sina ushahidi Ila nina 80%) mwaka 2014 baada ya kupewa kitu kidogo prof. Shivji alibadilika na kuyasaliti machapisho yake yaliyokuwa yanapendekeza serikali tatu. Akaiunga mkono ccm ktk kuutetea muundo wa muungano wa serikali mbili.

Kwahiyo hata ktk suala hili la DP World ninaamini prof. Shivji anatumika.

Apuuzwe prof. huyu.
Ama ni mhuni au ni chawa wa mama. Kwani nyie hamuoni yale masharti ya kibeberu na kikoloni? Yaani muko tayari nchi iwe rehani kwa dubai kwa kisa gani? Wengine ni udini tu. Wapuuzi sana.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Duh!
Bado tu hujapata majibu ya hoja zako!?
 
Prof. Shivji haaminiki tena huwa anatumika na ni kigeugeu hivyo apuuzwe ktk hoja zake anatoa kupinga ubia wa serikali ya Tanzania na DP World kuendesha bandari..

Kama mnakumbuka prof. Shivji ameandika machapisho mengi sana kuhusiana na utata na udhaifu wa muundo wa muungano wetu wa serikali mbili. Alikuwa mkosaoji mkubwa sana wa muundo huu wa muungano.

Lakini (sina ushahidi Ila nina 80%) mwaka 2014 baada ya kupewa kitu kidogo prof. Shivji alibadilika na kuyasaliti machapisho yake yaliyokuwa yanapendekeza serikali tatu. Akaiunga mkono ccm ktk kuutetea muundo wa muungano wa serikali mbili.

Kwahiyo hata ktk suala hili la DP World ninaamini prof. Shivji anatumika.

Apuuzwe prof. huyu.


Jibu hoja zake na sio unakuja na maneno mepesi apuuzwe
 
Prof. Shivji haaminiki tena huwa anatumika na ni kigeugeu hivyo apuuzwe ktk hoja zake anatoa kupinga ubia wa serikali ya Tanzania na DP World kuendesha bandari..

Kama mnakumbuka prof. Shivji ameandika machapisho mengi sana kuhusiana na utata na udhaifu wa muundo wa muungano wetu wa serikali mbili. Alikuwa mkosaoji mkubwa sana wa muundo huu wa muungano.

Lakini (sina ushahidi Ila nina 80%) mwaka 2014 baada ya kupewa kitu kidogo prof. Shivji alibadilika na kuyasaliti machapisho yake yaliyokuwa yanapendekeza serikali tatu. Akaiunga mkono ccm ktk kuutetea muundo wa muungano wa serikali mbili.

Kwahiyo hata ktk suala hili la DP World ninaamini prof. Shivji anatumika.

Apuuzwe prof. huyu.
Wakupuuzwa ni wewe ignorant
 
Serikali ishatolea ufafanuzi kuwa itazirekebisha hizo kasoro. Ondoa hofu. Lkn prof. huyu uchwara anataka kuurejesha umaarufu aliokuwa nao hapo awali kwa kutumia suala DP World
Hebu anza na hiyo hoja ya kwanza, wanarekebisha kasoro gani kwenye hiyo hoja ya kwanza? Halafu ndio tuendelee na hoja ya piki nk.
 
Kwamba tunaongelea mtu na sio Hoja za Mtu ?!!!
 
Back
Top Bottom