- Thread starter
- #21
Kweli wamasai ndio wanateketeza mbuga?Bila kuondoa masai mbuga zetu zitateketea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wamasai ndio wanateketeza mbuga?Bila kuondoa masai mbuga zetu zitateketea
Hii theory inaathiti uhifadhi, wamasai zamani walikuwa na mifugo yao tu, Sasa matajiri wanawatumia hao wamasai, wanawapa maelfu ya mifugo, wanwaingiza hifadhiniWatalii wengi wanapenda kuoba utalii wa wanadamu waishio na wanyama pori. Nadhani wamasai wanachochea sana kua kivutio katika hiyo hifadhi.
Bandiko limeelezea wazi. Maana hata katiba yetu ni ya mkoloni huyo huyo.Mwaka 1958 ilikuwa ni serikali ipi?
Team Mchungaji Msigwa katika uboraTuambie shivji anaamini katika nini
Maasai hawajengi nyumba za kudumu kwa vile huhamahama kufuata malisho. Siku hizi wapo mpaka zambia na mifugo yao maana imeongezeka sana kiasi cha ngombe tu kufikia milioni 30. Hawalimi wananunua vyakula kama mahindi na maharagwe nk.Hebu wahame, hiyo hifadhi inaingiza mabilioni yanayosaidia taifa. Unakaaje sehemu ambayo huruhusiwi kujenga nyumba? Huruhusiwi kulima
Msigwa ana Team ?Team Mchungaji Msigwa katika ubora