Prof. Shivji: Kwanini zoezi liwe la haraka kuwahamisha? Ni kweli Wamaasai wameshirikishwa?

Watalii wengi wanapenda kuoba utalii wa wanadamu waishio na wanyama pori. Nadhani wamasai wanachochea sana kua kivutio katika hiyo hifadhi.
Hii theory inaathiti uhifadhi, wamasai zamani walikuwa na mifugo yao tu, Sasa matajiri wanawatumia hao wamasai, wanawapa maelfu ya mifugo, wanwaingiza hifadhini
 
Hebu wahame, hiyo hifadhi inaingiza mabilioni yanayosaidia taifa. Unakaaje sehemu ambayo huruhusiwi kujenga nyumba? Huruhusiwi kulima
Maasai hawajengi nyumba za kudumu kwa vile huhamahama kufuata malisho. Siku hizi wapo mpaka zambia na mifugo yao maana imeongezeka sana kiasi cha ngombe tu kufikia milioni 30. Hawalimi wananunua vyakula kama mahindi na maharagwe nk.
 
Reactions: ALT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…