Prof. Shivji ametoa maoni yake kuhusu kadhia ya Law School. Anasema Shivji:
“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”
Prof. Shivji anafahamika kwa misimamo yake. Anachozungumzia hapo ni umuhimu wa critical thinking.
Nguli huyu amesoma na kina Yoweri Museveni na John Garang wakiwa katika ubora wao kama wapigania uhuru.
Nguli huyu mwandishi wa makala zake tata kama Ile ya "what is left to the left of the university of Dar es Salaam," haipo shaka kuwa atakuwa analiangalia tatizo la LST kwa mapana yake zaidi.
Atakuwa anawanyooshea vidole waliouwa na wanaouwa critical thinking mashuleni. Iliyokuwa academic freedom Leo Iko wapi?
Nguli Shivji radical kama alivyo haitakuwa ajabu kama atakuwa ana shangaa:
1. Ni vipi wanafunzi vyuo vikuu (ikiwamo UDSM na hasa faculty of law) wamelala hivi kuhusu katiba mpya na haki mbali mbali zinazoendelea kusiginwa.
2. Ni vipi wanafunzi LST wakijua mtaji wa maskini ni nguvu zao wenyewe waliendelea kusubiria kufeli mwaka hadi mwaka na kuwa 'at the mercy' ya hao wanaowatuhumu, kiasi cha kufikishwa huku tuliko sasa?
4. Ni vipi viongozi wa upinzani wamekuwa wakikamatwa, kubambikiziwa kesi hali vyama vya wanafunzi wakiwa hawana hata la kusema?
5. Ni vipi watuhumiwa wamekuwa wakiuwawa kinyume cha sheria, hali wanafunzi hawa wakiwa wamegeuka kuwa wapenzi watazamaji?
6. Ni vipi tozo za Mwigulu zimekuja na kutamalaki bila wanafunzi kujihusisha kwenye uhalali na uharamu wake?
7. Vipi haya ya magari ya mabilioni ya shilingi kila mwaka kwa ajili ya kununulia magari ya vigogo serikalini kutohojiwa na wanafunzi?.
8. Vipi ya haki za vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa. Wanafunzi wanaangalia tu?
9. Nk nk.
Iko kwenye record wakati Prof Shivji akiwa mwanafunzi UDSM serikali ya Nyerere ililwaho kuleta malori ya jeshi kuwachukua wanafunzi kwenda kusafisha Jiji, wanafunzi 12 peke yao walisimama imara kulipinga Hilo.
Hawa walitandaza mbao zenye misumari kuyazuia malori kuondoka.
Katika 12 hao walikuwamo Shivji, Garang na Museveni.
Hazipo tena siku zile ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu walishurutisha madaktari waliokamatwa wakidai madai yao kuachiwa mara moja kutoka segerea?
"Nini kimetokea? Jibu ni kuwa kuporomoshwa kwa critical thinking mashuleni kwa mujibu wa nguli huyu."
Yasipotoshwe maoni ya Prof. nguli Issa Shivji.
Source:
Profesa Shivji asema tatizo ni mfumo ufaulu mtihani Uanasheria
“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”
Prof. Shivji anafahamika kwa misimamo yake. Anachozungumzia hapo ni umuhimu wa critical thinking.
Nguli huyu amesoma na kina Yoweri Museveni na John Garang wakiwa katika ubora wao kama wapigania uhuru.
Nguli huyu mwandishi wa makala zake tata kama Ile ya "what is left to the left of the university of Dar es Salaam," haipo shaka kuwa atakuwa analiangalia tatizo la LST kwa mapana yake zaidi.
Atakuwa anawanyooshea vidole waliouwa na wanaouwa critical thinking mashuleni. Iliyokuwa academic freedom Leo Iko wapi?
Nguli Shivji radical kama alivyo haitakuwa ajabu kama atakuwa ana shangaa:
1. Ni vipi wanafunzi vyuo vikuu (ikiwamo UDSM na hasa faculty of law) wamelala hivi kuhusu katiba mpya na haki mbali mbali zinazoendelea kusiginwa.
2. Ni vipi wanafunzi LST wakijua mtaji wa maskini ni nguvu zao wenyewe waliendelea kusubiria kufeli mwaka hadi mwaka na kuwa 'at the mercy' ya hao wanaowatuhumu, kiasi cha kufikishwa huku tuliko sasa?
4. Ni vipi viongozi wa upinzani wamekuwa wakikamatwa, kubambikiziwa kesi hali vyama vya wanafunzi wakiwa hawana hata la kusema?
5. Ni vipi watuhumiwa wamekuwa wakiuwawa kinyume cha sheria, hali wanafunzi hawa wakiwa wamegeuka kuwa wapenzi watazamaji?
6. Ni vipi tozo za Mwigulu zimekuja na kutamalaki bila wanafunzi kujihusisha kwenye uhalali na uharamu wake?
7. Vipi haya ya magari ya mabilioni ya shilingi kila mwaka kwa ajili ya kununulia magari ya vigogo serikalini kutohojiwa na wanafunzi?.
8. Vipi ya haki za vyama vya siasa kuzuiwa kufanya siasa. Wanafunzi wanaangalia tu?
9. Nk nk.
Iko kwenye record wakati Prof Shivji akiwa mwanafunzi UDSM serikali ya Nyerere ililwaho kuleta malori ya jeshi kuwachukua wanafunzi kwenda kusafisha Jiji, wanafunzi 12 peke yao walisimama imara kulipinga Hilo.
Hawa walitandaza mbao zenye misumari kuyazuia malori kuondoka.
Katika 12 hao walikuwamo Shivji, Garang na Museveni.
Hazipo tena siku zile ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu walishurutisha madaktari waliokamatwa wakidai madai yao kuachiwa mara moja kutoka segerea?
"Nini kimetokea? Jibu ni kuwa kuporomoshwa kwa critical thinking mashuleni kwa mujibu wa nguli huyu."
Yasipotoshwe maoni ya Prof. nguli Issa Shivji.
Source:
Profesa Shivji asema tatizo ni mfumo ufaulu mtihani Uanasheria