Prof. Shivji na maoni yake kuhusu kadhia ya Law School

Prof. Shivji na maoni yake kuhusu kadhia ya Law School

Kwanza kabisa ninai blast tume ya Harrison Mwamwembe haikufanya lolote la kusaidia matatizo ya Law School. Mwamkyembe ni FAILURE katika ku deliver issues kama hizi. Kumbuka ripoti yake ya RICHMOND na Treni ya Metro aliyomleta Tapeli Shumake kutoka Chicago

Najielekeza kwenye hoja yangu sasa.

Gharama ya Law School of Tanzania kwa kwa mwanafunzi kwa mwaka Tsh. 3,000,000.

3,000,000 * 821 = 2,463,000,000

Kwenye udahili wa wanafunzi 821, unafaulisha wanafunzi 23 tu, halafu tunaona hii ni sawa?

Kirahisi kabisa tunaindividualize kwa kusema “wanafunzi hawana uwezo” halafu imeishia hapo

Mimi siyo mwanasheria wala sina masilahi, lakini hawa lecturers na management ya Law School wanafanya mzaha na biashara tu

Pendekezo:
Tufanye kama shule za RC (St Francis, Marian etc) ambapo wanaomba 1,000 na kulipia fomu kwa Tshs 10,000 tu halafu kwenye NECTA baada ya miaka 4 unakuta wanafaulu Div 1 na II pekee.

Kwa muktadha huo nashauri uanzishwe mfumo wa entry exam au matriculation exam ambapo watachukua wanafunzi wenye uelewa na wanaofundishika tu. Hii italeta faida zifuatazo:-

1. itaokoa muda na fedha za wanafunzi wanaofeli kwenye mtihani wa mwisho.

2. Lecturers watapata muda wa kutosha wa kufundisha wanafunzi kwa nafasi.

3. Watajuwa kuwa mshahara wao unatokana na kufaulisha wanafunzi hivyo watajituma zaidi ili wapate mishahara itokanayo na karo zao

Kuna mbuzi watu kama hili Ujamaa ni mhimu ujuaji mwingii! Kutokea kwenye zile kazi zaitwa za laana hayawezi kukuelewa.
 
Haya no mahitaji ya kisiasa toka kwa wanasiasa,Mimi nataka kujua ni kivipi Katiba mpya itatua umasikini,maradhi na ujinga!?..uliyoorodhesha yanaiongezea nchi gharama tu
Na umri huu hujui umuhimu wa katiba mpya huko shuleni ulienda kupuyanga yaan kuna maswali huwezi uliza mbele za watu ni aibu

Kwa hiyo unataka nchi iongozwe kama tuko porini, hakuna cha sheria wala nin na ukumbuke katiba ni sheria mama ya sheria zote za nchi
 
Mmehoji nini?

Mmepigania nini iwapo miaka 30 ya Uhai wenu mnashindwa kufanya mikutano?

Mnahojia wapi ikiwa hata Bungeni na Kwenye mabaraza ya madiwani hampo?
Unavyowatuhumu chadema kwamba wameifanyia nin nchi je katika zile branch tatu za serekali walishawahi kuwa na utawala kwa hata moja msifanye watu wajinga
 
Ile wako uende Law school umwambie mwalimu umesite dead law! Au umpinge Ndugu yangu utaambiwa Kwa mamlaka aliyonayo hutaweza ku practice law East Africa!!!
 
Na umri huu hujui umuhimu wa katiba mpya huko shuleni ulienda kupuyanga yaan kuna maswali huwezi uliza mbele za watu ni aibu

Kwa hiyo unataka nchi iongozwe kama tuko porini, hakuna cha sheria wala nin na ukumbuke katiba ni sheria mama ya sheria zote za nchi
Kenya Wana Katiba mpya,matatizo yao yameisha!?..na bado wanataka kuibadili Tena,njaa,umasikini,maradhi na ujinga vineisha Kenya!?
 
Kama hujui umuhimu wa katiba, na ulivyokuwa una upeo eti katiba ni ya wapinzani nani aliyekudanganya katiba ni ya wapinzani
Mimi nimekuuliza katiba mpya itatatua vipi matatizo ya ujinga,maradhi na umasikini,unanipa majibu ya jumla na dhihaka,Katiba unayoitaka itatatua vipi na hii iliyopo imeshindwa vipi!?..je suala ni Katiba!?
 
Sijaona hoja yeyote ya maana hapa! Wanafunzi wanapaswa kusoma na kufaulu bila kupendelewa! Hata kama wangeongelea katiba,watu kutekwa ,tozo n.k cha msingi hapa wanapaswa kufaulu mitihani bila kupendelewa!

Kama kuna hoja ya wanafunzi kufelishwa sawa lakini kinyume na hapo basi law schools wanapaswa kufanya kazi yao bila kuingiliwa kabisa ili watoe wabobezi kweli!

Tunapaswa kukubali kuwa watu wanapaswa kusoma vizuri ili wafaulu vizuri kinyume na hapo lazima tuthibitishe kuwa hawa watu wanasoma vizuri na wameonewa!

K
 
Mimi nimekuuliza katiba mpya itatatua vipi matatizo ya ujinga,maradhi na umasikini,unanipa majibu ya jumla na dhihaka,Katiba unayoitaka itatatua vipi na hii iliyopo imeshindwa vipi!?..je suala ni Katiba!?
Katiba ndo mama wa sheria zote unazoziona leo kwa akili yako kisoda unaona ni ya wapinzani elimu yetu ina shida sana watu wanakariri hawaelewi

Ili nchi iendelee lazima kuwe na strong institutions na sio one man show, na strong institutions zinajengwa revolve around constitution
Strong institutions hazijengwi hewani

Hizo nchi ambazo hazina ujinga, na maradhi, na zilizoendelea zina katiba ebu ntajie nchi ambayo haina katiba hapa duniani
nimekaa pale
 
Sijaona hoja yeyote ya maana hapa! Wanafunzi wanapaswa kusoma na kufaulu bila kupendelewa! Hata kama wangeongelea katiba,watu kutekwa ,tozo n.k cha msingi hapa wanapaswa kufaulu mitihani bila kupendelewa!

Kama kuna hoja ya wanafunzi kufelishwa sawa lakini kinyume na hapo basi law schools wanapaswa kufanya kazi yao bila kuingiliwa kabisa ili watoe wabobezi kweli!

Tunapaswa kukubali kuwa watu wanapaswa kusoma vizuri ili wafaulu vizuri kinyume na hapo lazima tuthibitishe kuwa hawa watu wanasoma vizuri na wameonewa!

K

Bila kufuata mtiririko huwezi kuona. Huo ulikuwa mwendelezo tokea hapa:

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Karibu kuona kama hauna chongo
 
Back
Top Bottom