Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

Mawazo ya profesa yanaheshimiwa lakini kufikia mkataba na DPW kulikuwa na mawazo mbadala ambayo yanakwenda kutupatia nusu ya bajeti ya nchi kila "fiscal year" hapo bandarini.....
Prof ana mawazo ya vitabuni. Hajawahi kuuza hata kiosk
 
Magu alipokua anawatumbua mkamuona ni Dikteta bora Mama wa Watu kaamua kuwauza utumwani mkajipange tena upya huko!!
Ahahahahaaaa

Muungano kweli ni msalaba kwa Tanganyika. Ukimpenda mwanamke asiyekupenda ni mauti yako. Ndicho kinachomtokea baba Tanganyika.
 
Lakini TPA ndio wamesababisha hili suala, hakuna ufanisi kiasi imetumika kama loophole kubinafsishwa. Na sio TPA angalia ATCL, TRA, TTCL kote huko ufanisi ni zero kabisa sijui taasisi zetu Zina shida gani. Ifike kipindi ajira za utumishi ziwe na KPI mtu asipofikia lengo automatically afukuzwe kazi au awe demoted bila hivyo watu ni business as usual maana wanajua hakuna wa kuwagusa.
Hayo mashirika si yapo chini ya wizara za miundo mbonu mawasiliano na fedha .sasa mawaziri wanafanya kazi gani ikiwa taasisi zao hazinatija
 
Ahahahahaaaa

Muungano kweli ni msalaba kwa Tanganyika. Ukimpenda mwanamke asiyekupenda ni mauti yako. Ndicho kinachomtokea baba Tanganyika.
Dola la Tanganyika haliko....iko ardhi iliyokuwa Tanganyika....unataka kuhoji uchumba wa baba na mama yako ili iweje?!!![emoji15][emoji15]

Siempre El Commandante Julius Kambarage Nyerere[emoji120]
 
Lakini TPA ndio wamesababisha hili suala, hakuna ufanisi kiasi imetumika kama loophole kubinafsishwa. Na sio TPA angalia ATCL, TRA, TTCL kote huko ufanisi ni zero kabisa sijui taasisi zetu Zina shida gani. Ifike kipindi ajira za utumishi ziwe na KPI mtu asipofikia lengo automatically afukuzwe kazi au awe demoted bila hivyo watu ni business as usual maana wanajua hakuna wa kuwagusa.
Hayo mashirika si yapo chini ya wizara za miundo mbonu mawasiliano na fedha .sasa mawaziri wanafanya kazi gani ikiwa taasisi zao hazinatija
 
Naomba mwenye clip ya Pro Kabuni akizingumzia huu mkataba atuletee kwa sababu tumeaminishwa kwamba yeye ni mwamba kwelikweli ya mikataba. Ndipo tujue Hali halisi ipoje

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app

Yule ni kama yupo Jalalani tu, anafanya kichawa ili mradi mkono uende kinywani japo naamini kuwa kabudi kimoyomoyo kabisa hakubariani na hilo swala. Huyu mzee kwa uoga oga wake wa kusujudia watawala sitokaa nimpe maua yake.
 
Bandari ya Bagamoyo ilihusisha waarabu pia.
Tunataka fedha itoke kwa majini ama mashetani ,waarabu ama wakorea....

Hivi shule mnakwenda kusomea upumbavu?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Tunataka fedha itoke kwa majini ama mashetani ,waarabu ama wakorea....

Hivi shule mnakwenda kusomea upumbavu?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo hutaki kuamini kuwa bandari ya Bagamoyo ingekuwa ya ubia was wachina na waarabu wakiwemo...au?
 
Unguja meno nje nje leo
Yaani pamoja na usomi wako unanibagaza uraia usio wangu?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tatizo lenu kila mtu anayetetea DPW mnamuita mzanzibari....endelea na "illusions" zako [emoji1787][emoji1787]

#Karibu Al Kasus hapa Makunduchi [emoji120]
 
Kwa hiyo hutaki kuamini kuwa bandari ya Bagamoyo ingekuwa ya ubia was wachina na waarabu wakiwemo...au?
Unawachukia waarabu ?!!!

Baki na chuki nayo kwani hata wazungu walipowapa uandazi wa kombe la dunia si kwa kuwa wana mapenzi nao ila maslahi....

Dunia hii ni ya kimaslahi....baki na "hisia zako" [emoji1787][emoji1787]
 
Sio madawa tu na silaha za magendo zitakuwa zinapitishwa bila kusahau alshababu nao watashamiri
Ujinga huo.....

Kwa hiyo uwepo wa TICTS miaka 22 uliwaimarisha Al Shabab?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]

Dubai si "Somalia"....wapi na wapi na Al Shabab....

Kweli Al Shabab walilipua michuano ya kombe la dunia kule Qatar kwa waarabu [emoji1787]

Shule mnakwenda kusomea upumbavu?!![emoji1787]
 
Unawachukia waarabu ?!!!

Baki na chuki nayo kwani hata wazungu walipowapa uandazi wa kombe la dunia si kwa kuwa wana mapenzi nao ila maslahi....

Dunia hii ni ya kimaslahi....baki na "hisia zako" [emoji1787][emoji1787]
Hivi kuna mahali nimeandika kwa hisia nikionyesha nina chuki kwa waarabu? 😲
 
Baada ya hotuba ndefu nimenukuu haya machache kutoka kwa Prof Shivji juu ya nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba huu wa kinyonyaji wa DP- World. naandika kama anavyo sema:-

"Kwa ujumla kwa kuhitimisha, mkataba huu sisi wanasheria tunauita honoracy provisions na tukikubaliana hivyo je kuna njia gani ya kujitoa kwenye mkataba huu? Hii sitorudia kusema kwa sababu the destiny ilikuwa ni bunge kuto ridhia mkataba huu lakini kwa sasa na kwa busara zake bunge limeona mkataba huu unafaa na limesha uridhia.

Njia ya pili imependekezwa na chama cha wanasheria na Mzee Warioba, aliposema kwamba tuurekebishe mkataba huu na tufute vipengele vinavyo lalamikiwa. Je njia hii inawezekana? (haiwezekani!) kwa mkataba huu mshirika wako ni lazima akubali ndipo marekebisho yafanyike.

Kama alivyosema Bwana Richard (mzungumzaji aliyetangulia.) kwamba kama mshirika ananufaika na kifungu hiki hatoweza kukubali kurekebisha. Na hata ukisema anakubali je mkataba huo sasa baada ya kurekebishwa utarudi tena bungeni? kwa sababu huo ulio rekebishwa utakuwa haukupitishwa na Bunge!

Jambo jingine nilisikia kwenye clip kutoka kwa Dr. Slaa akisema kwamba kuna muda wa mwaka mmoja kujitoa akinukuu ibara ya tano ya mkataba huu. Nafikiri amekosea tafsiri ya jinsi alivyosoma mkataba huu, ibara ya 5 inasema tu kwamba kama katika muda wa miezi 12 baada ya kusainiwa kwa mkataba na endapo kama hawajakubaliana kupitia project agreement na negotiation, serikali ya Tanzania itakuwa na uwezo wa kutafuta proporsal sehemu nyingine, haisemi kabisa kujiondoa.

Njia ya tatu ya kuingia mahakamani kama wenasheria wengine walivyofanya hapa kuna matatizo. Kama tunavyojua mahakama zetu zinachukua muda mrefu sana kufanya maamuzi, pale kesi itakapo kuja kusikilizwa muda utakuwa umepita na wahusika watakuwa wamesha saini project agreements, mahakama itashindwa kufanya maamuzi ya haki baada ya muda huo kupita na kwakuwa uamuzi wake kwa kipindi hicho hautakuwa na maana yeyote. Ndivyo watakavyo sema.

Njia mojawapo sijui kama wenzangu wamefikiria hiyo, kwenda kufile case na kuomba inaction ili kuzuia serikali kusign any proporsal about agreement mpaka pale kesi ya msingi iwe imeamuliwa, inategemea kiasigani wataweza kuwasilisha hoja zao lakini kisheria inawezekana hiyo. Swali ni je, utakapoingia mahakamani utakuwa unachallenge nini? Huwezi ukachallenge mkataba (IGA) bali utakuwa unachallenge azimio la bunge kwamba ni unconstitutional kwasababu limeridhia mkataba ambao ni unconstitutional. Kwahiyo azimio la bunge liwe ni unconstitutional kwa kuridhia mkataba ambao ni unconstitutional, I hope itakuwa vizuri.

Njia nyingine ambayo inawezekana kabisa, Mheshimiwa waziri mkuu amesema watafanya amendment lakini kama nilivyosema haiwezekani. Bunge laweza kupitisha azimio kurevorke azimio lake la kwanza na bunge lina mamlaka sovereignity power ya ku unvoke it's status. Wabunge wanaweza sema baada ya kusikiliza wananchi wetu tumeona kuwa azimio hilo halikuwa sahihi na tunalifuta inawezekana kabisa na kama azimio likifutwa hakuna rectification na kama hakuna rectification mkataba umefutwa, sasa njia hii pekee inawezekana.

Ni kwa kiasigani wananchi wataweza kuwashinikiza wabunge wao kuwalazimisha wakae tena bungeni warevorke azimio hilo na kufunga huo mjadala inategemea na uwamuzi wao wananchi. Kusema kweli bunge haliko chini ya Dubai hata sheria za kimataifa haziwezi kuli zuia ndio maana ya sovereignity of parliament kwa hivyo uamuzi wa Bunge utaheshimiwa.

Jambo la mwisho kama ninavyopenda kusema kuhusu mchakato mzima wa ubinafsishaji. Kila mara ubinafsishaji unahalalishwa kwa kusema kwamba sisi kama serikali hatukuwa na tija katika uendeshaji wa shirika hili, hiki ni kisingizio na kimetumika kubinafsisha mashirika yaliyokuwa yanaleta faida, nani anataka shirika linalotia hasara? Kuna sekta nyeti katika uchumi huwezi kuweka mikononi mwa watu na bandari ni sekta nyeti mojawapo, huwezi kuiweka mikononi mwa watu kwa sababu mbalimbali.

Mali yetu yote tuna export kupitia bandari, madini yetu yote yanapitia bandarini, mali yote tunayoleta kutoka nje yetu na ya wengine inapitia bandari na mali zenyewe ni sensitive. Sasa huwezi kuweka hiyo bandari mikononi mwa private company bila ya wewe kuwa na control na all say power hujui wataforward nini kupitisha ama watafaidika nini na huwezi kuzuia.

Kama kuna tatizo la ufanisi ni bora kuajiri management kutoka nje, ingawa itakuwa chini yetu kama vile Dubai wanavyoajiri watu kutoka nje kwani lazima ubinafsishe? Na hii sio ukodishaji kama watu wanavyosema ni ubinafsishaji kwa sababu unaweka control mikononi mwa private company bila ushindani kinyume na katiba ya nchi.

Kwa upande wangu mi naona kuna sekta nyeti za uchumi ambazo ni lazima zibaki mikononi mwa serikali na bandari ni moja wapo, fedha ni muhimu na nishati ni yatatu. Unaweza kubinafsisha hoteli au maduka lakini sio bandari wala sekta ya fedha, hata ukiruhusu mabenki binafsi lakini ni lazima uwe na commercial bank ya serikali ni lazima." Amesema Prof Shivji kwenye mjadala huo.
Mzalendo👍
 
TRA nayo haiendeshwi wa ufanisi vipi nayo tuwape wahindi maana wao wanajua sn mapato tutakusanya mmmno napia kavipi ikulu tuwape wamarkani wanajua kuendesha waitihausi kiutalii wanapigaga mahela humo
 
Huyu Shivji hazeeki akili.
Unajaribu kuwaza hata serikali iki import baadhi ya bidhaa kupitia bandarini zinakuwa wazi.

Kiufupi usalama wa nchi yetu unakuwa wazi mno achilia mbali uchumi.
 
Back
Top Bottom