Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Hahaahaa, Acha kutusema sisi wanaume. Yaani uungwana huwa tunafanya, tunasambaza upendo. michepuko ndio busara. Wangoni husema "MPELAI ABELAI MWENEEE" yaani wewe mpe akatae mwenyewe.Hata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.