Tetesi: Prof. Shukuru Manya kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini

Tetesi: Prof. Shukuru Manya kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini

Hata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.
Hahaahaa, Acha kutusema sisi wanaume. Yaani uungwana huwa tunafanya, tunasambaza upendo. michepuko ndio busara. Wangoni husema "MPELAI ABELAI MWENEEE" yaani wewe mpe akatae mwenyewe.
 
Basi Dotto Biteko.....imetosha mtoto wa Dada...apumzike
 
Miaka 5 hii tutaona na kusikia mengi ni yetu macho na kuomba uzima tu
 
Morogoro Kuna matapeli kibao wa madini na vijiwe vyao tunavijua.
 
Prof Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Aaahh...hiyo nafas inamtoshaaa...tulia na ww
 
Acha ujinga,waziri sio Mtendaji wa wizara,yeye anasimamia sera,watendaji wapo chini ya Katibu mkuu wa wizara,
Kasome historia vzr,Mzee Salim Ahmed Salim aliyeuliwa kuwa Balozi nchini Misri akiwa kijana wa form six,hata degree hana,na kazi aliiweza,hakuwa intellijensia,polisi,Wala mjeda,
STd 7
 
Prof Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Biteko si mtu wa watu
 
Prof Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Nimegundua mleta mada ni mbumbumbu sana, na mpika majungu

Eti Dotó Biteko kajaza watu wa kanda yake tu wizarani
kwani Waziri ndie anahusika kuajiri watumishi wizarani????
 
Sijui nani katuroga WATANZANIA?

Yaani ni MABINGWA wa MAJUNGU
 
Prof Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Watanzania Katika ubora wetu
 
Hata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.
Hahahaaaa

Thanks mkuu kwa kutupa heshima
 
Sijakuelewa hoja yko hapa
Jibu hoja za mdau kwa Fact
Sio unapinga kwa porojo tu.
Acha ujinga,waziri sio Mtendaji wa wizara,yeye anasimamia sera,watendaji wapo chini ya Katibu mkuu wa wizara,
Kasome historia vzr,Mzee Salim Ahmed Salim aliyeuliwa kuwa Balozi nchini Misri akiwa kijana wa form six,hata degree hana,na kazi aliiweza,hakuwa intellijensia,polisi,Wala mjeda,
 
Back
Top Bottom