Tetesi: Prof. Shukuru Manya kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini

Tetesi: Prof. Shukuru Manya kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini

Kwa ujumla, mahitaji ya kazi yamezidi uwezo wa Biteko.
 
Majungu tu wabongo. Wizara mbona inafanya vzr hasa makusanyo ni mazuri ndo jambo la mhm. Kutoroshwa madini ungejua waziri sio kazi yake. Kubwa ni kuhakikisha wawekezaji wanakuja
 
Ungemwombea cheo cha kiutendaji kama katibu mkuu wa wizara, uwaziri ni cheo cha kisiasa hahusiki na utendaji moja kwa moja...
 
Prof Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Kwan Manya ni kabila Gani?
 
Back
Top Bottom