Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Hahaahaa, Acha kutusema sisi wanaume. Yaani uungwana huwa tunafanya, tunasambaza upendo. michepuko ndio busara. Wangoni husema "MPELAI ABELAI MWENEEE" yaani wewe mpe akatae mwenyewe.Hata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.
Aaahh...hiyo nafas inamtoshaaa...tulia na wwProf Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Ww n hewaa tuu...uwiz ulikuwa mkubwa enz za jk...cjui ulikuwa umelalaWizi wa madini umeshamiri kupitia kiasi.
STd 7Acha ujinga,waziri sio Mtendaji wa wizara,yeye anasimamia sera,watendaji wapo chini ya Katibu mkuu wa wizara,
Kasome historia vzr,Mzee Salim Ahmed Salim aliyeuliwa kuwa Balozi nchini Misri akiwa kijana wa form six,hata degree hana,na kazi aliiweza,hakuwa intellijensia,polisi,Wala mjeda,
😂Kwahiyo msimamizi wa Sera anatakiwa kuwa kilaza????
Biteko si mtu wa watuProf Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Nimegundua mleta mada ni mbumbumbu sana, na mpika majunguProf Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
Comment yako imenipa nguvu sanaHata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.
Watanzania Katika ubora wetuProf Shukuru Manya, Naibu waziri wa madini ateuliwe kuwa waziri wa madini.
Ninasema hivi kwa sababu zifuatazo:-
1.ameongoza tume ya madini Kwa uadilifu mkubwa.
2. Amesomea masuala ya madini na ndio fani yake
3. Ni mkweli,mwadilifu na mchapa kazi
4. Hana makundi, waziri aliyepo anayelea wafanyakazi Wala Rushwa,wadanganyifu mfano maengineers wa madini waliopo ofisi za madini mwanza na Geita
5. Amefanya kazi geita gold mines Kwa miaka mingi ukilinganisha na waziri aliyepo ambaye ni mwalimu Hana uzoefu wa field work
6. Hana ubia wowote kwenye kampuni za uchimaji madini tofauti na waziri aliyepo ana ubia na makampuni ya uchimbaji .
7. Ina aibu na kudhalilisha taalumu Profesa kupangiwa kazi na mwalimu mwenye master ya ualimu.
8. Doto biteko ana ukabila,mkubwa na ni mbaguzi na ndani ya wizara ya madini anejaza watu kutoka ukanda mmoja.
HahahaaaaHata asipoteuliwa, that man is very honest and God-fearing. Ukishaona mwanaume hana michepuko basi fahamu integrity yake siyo ya mchezo.
Kama ni majungu njoo songwe ukutane na utoroshaji mkubwa wa dhahabuSijui nani katuroga WATANZANIA?
Yaani ni MABINGWA wa MAJUNGU
Yanatoroshwaje?Kama ni majungu njoo songwe ukutane na utoroshaji mkubwa wa dhahabu
Kwaiyo huyo Shukuru atalinda madini yaliyopo Tanzania?Kama ni majungu njoo songwe ukutane na utoroshaji mkubwa wa dhahabu
Acha ujinga,waziri sio Mtendaji wa wizara,yeye anasimamia sera,watendaji wapo chini ya Katibu mkuu wa wizara,
Kasome historia vzr,Mzee Salim Ahmed Salim aliyeuliwa kuwa Balozi nchini Misri akiwa kijana wa form six,hata degree hana,na kazi aliiweza,hakuwa intellijensia,polisi,Wala mjeda,