peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
-
- #41
Sasa wewe unamyanganya cheo Professor tena wa madini na miamba unakwenda kumkabidhi wizara, Mtu wa education Mwalimu wa digree ambaye ajui chochote kuhusu madini, kwanini tusiwe na maswali?
Mleta mada kuna jambo alitaka watanzania walifahamu na mapungufu yaliyotokea huko Tume ya madini baada ya Professor kupanda cheo.Mimi sawa na upeo mdogo wa covcs, wewe unamjua huyu mleta nada ni nani, na anafanya Nini, au na wewe na wale watu wa makasiriko. Mwenye upeo mkubwa mleta mada hajui hata kama ni mbunge na bunge lipo live , yaani mwenye uelewa mkubwa hajui urai wa kawaida kuwa profesa si kamishina wa madini mpaka anaamini kuwa analipwa pasi na kufanya kazi yoyote, wewe mwenye uelewa mkubwa civics ni pamoja na kuwa current na mambo ya kitaifa na kimataifa.
Chuki binafsi. Manya si naibu waziri. Manya ni mbunge wa kuteuliwa tu kwa sasa.Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.
Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa.
Cha kushangaza na kusikitisha nafasi aliyokuwa nayo huko Tume ya Madini, awali ilikaimishwa mtu hadi leo imekaimishwa tena mtu asiye na CV ya hiyo kazi.
Matokeo yake Tume ya madini kila mtu anafanya lake tena bila uoga.
Huyu Professor mwambieni aliko asaidie watanzania walio maskini kwani alisomeshwa kwa kodi za watanzania, analipwa mshahara mkubwa kwa kodi zetu na yafanyi kazi yoyote.
Mbunge asiye na jimbo.Yupo pale UD anafundisha.Ndio sababu hatumuoni na ni msomi mzuri ambaye PhD yake Sio ya kupewa
Mungu ampe nguvu.Mbunge asiye na jimbo.Yupo pale UD anafundisha.
Sasa wewe unamyanganya cheo Professor tena wa madini na miamba unakwenda kumkabidhi wizara, Mtu wa education Mwalimu wa digree ambaye ajui chochote kuhusu madini, kwanini tusiwe na maswali?
Ona vijana wa kitanzania walivyokata tamaa kwenye sekta ya madini wakati huo huo unaye professor wa madini unamtoa unamuweka Mwalimu kuisimamia,Si Dr kiruswa ndio naibu waziri wa madini
Kila Rais na taste zake.Manya hafai kwa mujibu wa plans za Samia.Huwezi jua .Mungu ampe nguvu.
Nia yao ilikuwa kumtetelekeza msomi na Mtanzania ambaye angeweza kumfanya serikali kupata Trilion of money kupitia sekta ya madini
Huko serikali Professor hawahitajiki unatishia watanzania? Uwe na hekima Ili tusikuvunjie heshimaMleta uzi mwenyewe huna faida upo upo tu acha kuchukulia mambo personal sana yatakuumiza au ww ndo mpangaji mkuu wa kazi za serikali?
Huna jemaNi kama uko kibinafsi zaidi!
Anaitwa Profesa Shukrani Manya, huyu jamaa ni kichwa sana!.Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali
Huyu Professor mwambieni aliko asaidie watanzania walio maskini kwani alisomeshwa kwa kodi za watanzania, analipwa mshahara mkubwa kwa kodi zetu na yafanyi kazi yoyote.
Vema, kama lengo lilikuwa ni Hilo. Tatizo ni namna alivyowasilisha , amewasilisha kwa namna ambayo siyo ya mtu anayetaka kujua jambo. Mleta mada yeye anajua prof yupo tu haendi ofisini, lakini ana kula mshahara mnono. Angeeleza tatizo la tume ya madini baadaya ya kukosekana kwa prof . Sasa huyu kwa uandishi huo angekuwa amesoma Sheria halafu akaenda law school, si tungeishia kulaumu walimu wa law school kwamba wanafelisha.Mleta mada kuna jambo alitaka watanzania walifahamu na mapungufu yaliyotokea huko Tume ya madini baada ya Professor kupanda cheo.