Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa huyu aliekwapua mabilioni na hakuyarudisha na mwenzake kilainishiI wonder anapata wapi ujasiri WA kuongea,
Kuna watu wa kuwaogopa kama ukoma
Prof Tibaijuka "agamba". Lakini alivyosema ndio kitu ambacho hata Mimi ninakiona , hata mtaa wa Samora walitakiwa upande moja hasa hasa , ule uliongea Jengo la NHC malengo yote yavunjwe ili barabara iongezwe, na Kwa Kariakoo, Kwa muelekeo huu, itabidi magari yasiingie yasiingie huko, barabara ya Shule ya Uhuru toka clock tower kwenda Hadi Kiwanda cha safari nayo upande moja uvunjwe na nyumba si za NHC , nyingi basi kwakuwa Kwa sasa serikali ndio miliki wake basi wakati ndio huu, na baada ya kuvunja upande moja ndio upande wa pili uruhusiwe, kuongea maghorofa, lakini Kwa Hali ilivyo inaonekana ni uchafu Tu. Na Hali hii pia ilitokea na inaeñdelea kutokea Mwanza, na kuna wakati Mkurugenzi moja wa jiji wakati huo ni Nyumba kama 100 zilikuwa zimejengwa vilimani zivunjwe, ili Mipango mini ifanye KAZI , lakini Makamu wa Raisi wa wakati huo Ndugu John Malecela , akasema Mwanza haina master Plan , hivyo wananchi waachwe. Matokeo yake wananchi wasio shirikiana kimawazo na kimatendo wanategemea Mipango mini Yao. Na sirikali Kwa Darisalamu, hawa Mipango wa mji wa Darisalamu uweje siku zijazo, zaidi ya kusema kariakoo iwe biashara masaa 24. Na kuna mwingine kwenye Ile barabara ya Shekilango kuelekea simu2000, Jirani na Shule ya Mugabe, kapewa eneo kujenga Jengo la ghorofa na pale ni kwenye Kona kuhitajika, kuongeza upana wa Barabara ni shughuli. Na yote haya Yana fanyika tukiwa na mawaziri au viongozi ambao wameona nchi za wenzetu, na tuna wafanyakazi waliosoma wengi kuliko ilivyokuwa hapo awali lakini hawakupenda Kujaribu Mipango miji.Mbobezi wa Makazi duniani Prof Tibaijuka amesema pale Kariakoo Kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya High density viunganishwe mbele na nyuma Ili Kujenga ghorofa
Nimeogopa sana Kwa yale maghorofa ya Kikinga yaliyojaa Kariakoo na Manzese
Baadae Mlale unono 🐼
Badala ya kuhamasisha uokoaji,amekalia kukosoa wakati alikuwa waziri husika,ni unafiki.hivi anajua bei ya plot kariakoo, utanunua viwanja vingapi na kwa bei gani ili uweze kupata lowdensity na uwekezaji gani utakaorudisha uwekezaji huo.sometimes tusiwe wajuaji against uhalisia, Manhatan imejengwa kwenye low density? Ujenzi wa maghorofa ni swala la kitaalam, Burj khalifa lina ghorofa karibu 200 limetumia sqm ngapi? Muhimu ni kuwekeza kwenye ukaguzi wa mara kwa mara wa mjenzi na ujenzi husika unapofanyika ili kijengwe kilichobora kulingana na design na Boq, pia athari za kimazingira na kwa majengo mengineMbobezi wa Makazi duniani Prof Tibaijuka amesema pale Kariakoo Kwa mujibu wa sheria ya Mipango Miji ilitakiwa Viwanja 4 vya High density viunganishwe mbele na nyuma Ili Kujenga ghorofa
Nimeogopa sana Kwa yale maghorofa ya Kikinga yaliyojaa Kariakoo na Manzese
Baadae Mlale unono 🐼
Hujui hilo?Alikuwa waziri wa wizara husika?
Magorofa ya wakinga sjui wachaga huko mengi ni uchafu tuKiwanja 15×30 unajenga jengo la ghorofa 10? nondo zinatokana na vyuma chakavu,huko mbeleni ni majanga tupu
Kariakoo takataka sana tuSio lazima. Japan, New York n.k. wanajenga skyscrapers katika maeneo madogo .
Kinachotakiwa ni kuwa na miongozo pamoja usimamizi bora wa ujenzi. Hizi zote ni kazi za Halmashauri. Ingawq technically unaweza kujenga ghorofa refu katika eneo dogo ni mahitaji mengine ndio yatakusumbua. K.m. ghorofa inavyokuwa ndefu, unahitaji lifti na ngazi za dharura za kutosha hivyo unaweza kukuta sehemu utakayoweza kutumia ikawa ndogo na hivyo kuifanya isilipe. Hivyo tatizo letu kubwa ni kuwa hatuna nia ya dhati ya kusimamia ujenzi wa maghorofa.
Wakati tunashupalia kuanguka kwa jengo inabidi pia tujiulize maji taka yote yanayotoka vyooni, kwenye mabafu, jikoni n.k. yanaenda wapi?
Amandla...
Ukiachana na "alikuwa wapi?", unazungumziaje usahihi wa alichoongea?Alikuwa Wapi ? Wakati Alikuwa Waziri Waache Ujanja CCM Imechoka
CCM ndiye mtunga sera / sheria zote nchini kuanzia makazi, afya, elimu, mazingira nkCCM inahusikaje?
Sio Kariakoo tu. Mji mzima ni takataka. Manzese, Magomeni, Tandika, Masaki n.k. kote kunafanana.Kariakoo takataka sana tu
Ova
Unaona hapo mwamba marehemu kanji aliposimamisha gorofa hilo aliuaaa nyumba 5....Sio Kariakoo tu. Mji mzima ni takataka. Manzese, Magomeni, Tandika, Masaki n.k. kote kunafanana.
Amandla...
Ndiyo MkuuKwa maaha hiyo hapo kariakoo napo ni makazi holela yaani skwata.