Prof. Wajackoya: "kuna watu wamemkasirisha Mungu, watakufa kama Magufuli"

Prof. Wajackoya: "kuna watu wamemkasirisha Mungu, watakufa kama Magufuli"

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.

Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?

Cc: Wana S-Gang

Screenshot_20230420-151306.jpg
 
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.

Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?

Cc: Wana S-Gang

View attachment 2594082
Pumbavu sana huyu mvuta bangi...kwanza ajifunze kuoga amezidi uchafu....mambo ya Tz yanamuhusu nini?...wao waendelee kupigania unga ushuke bei na server za IEBC zifunguliwe kwa sababu kwa akili zao Odinga alishinda....
 
Pumbavu sana huyu mvuta bangi...kwanza ajifunze kuoga amezidi uchafu....mambo ya Tz yanamuhusu nini?...wao waendelee kupigania unga ushuke bei na server za IEBC zifunguliwe kwa sababu kwa akili zao Odinga alishinda....
Jadili mada Sasa, FUTA povu kwenye lips
 
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.

Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?

Cc: Wana S-Gang

View attachment 2594082
Jamaa anatafuta kiki kiboya sana
 
Wajacoya anasema kaburi ni tajiri, kwa maana watoto wasipende kupokea sumu toka kwa mama zao watengeneze na baba zao kabla awajaingia kaburini, watatamani lakini itakuwa ni too late
 
Pumbavu sana huyu mvuta bangi...kwanza ajifunze kuoga amezidi uchafu....mambo ya Tz yanamuhusu nini?...wao waendelee kupigania unga ushuke bei na server za IEBC zifunguliwe kwa sababu kwa akili zao Odinga alishinda....
Tza ni east africa zinategemeana
 
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.

Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?

Cc: Wana S-Gang

View attachment 2594082


Kama ni kweli aombe msamaha sasa hivi. Rais wetu hayati JPM siyo wa kuchezewa na wavuta bangi wajinga kama wajakonya.
 
Kaongea ukweli mchungu Ruto anabidi kujitaftia a lakini Muacheni mzee apumzike
 
Yuko sahihi, kazi ya Mungu haina makosa.
Yaani siku akifa mtu wako wa karibu mtoto, baba yako, mama yako, kaka yako, mdogo wako basi furahia pia hicho kifo, na hii kitu ikukae kichwani kila unapopata msiba kumbuka kuwa ulifurahia kifo cha Dkt Magufuli na ujilinganishe na familia ya Dkt Magufuli.
 
Kama ni kweli aombe msamaha sasa hivi. Rais wetu hayati JPM siyo wa kuchezewa na wavuta bangi wajinga kama wajakonya.
Sio Rais wetu sema aliyekuwa Rais na Marehemu hachezewi maana hasikii wala hajibu jambo lolote.
 
Back
Top Bottom