Prof. Wajackoya: "kuna watu wamemkasirisha Mungu, watakufa kama Magufuli"

Prof. Wajackoya: "kuna watu wamemkasirisha Mungu, watakufa kama Magufuli"

Yaani siku akifa mtu wako wa karibu mtoto, baba yako, mama yako, kaka yako, mdogo wako basi furahia pia hicho kifo, na hii kitu ikukae kichwani kila unapopata msiba kumbuka kuwa ulifurahia kifo cha Dkt Magufuli na ujilinganishe na familia ya Dkt Magufuli.
Hujui alikumbwa na madhira gani kwahiyo mkwara wa namna hiyo hauwezi kumbadilisha msimamo ndugu mchangiaji. Si unajua kipindi ile mengi yalikuwa yanatokea.
 
Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.

Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?

Cc: Wana S-Gang

View attachment 2594082
Yeye naye alishakufa pia?
 
mwishowe yalimkuta yakumkuta 😹
Na ndiyo maana uansoma History huku ukiishia kuwasifu waliosimamia misimamo yao kama wakina Karl Max, Lumumba etc lakin kujifunza kwako unaona kama yuke mjinha tu! Unahisi tunafail wapi kuamini vya kwetu?
 
Back
Top Bottom