Hujui alikumbwa na madhira gani kwahiyo mkwara wa namna hiyo hauwezi kumbadilisha msimamo ndugu mchangiaji. Si unajua kipindi ile mengi yalikuwa yanatokea.Yaani siku akifa mtu wako wa karibu mtoto, baba yako, mama yako, kaka yako, mdogo wako basi furahia pia hicho kifo, na hii kitu ikukae kichwani kila unapopata msiba kumbuka kuwa ulifurahia kifo cha Dkt Magufuli na ujilinganishe na familia ya Dkt Magufuli.
Hawezi kufa kibudu kama JiweNa yeye huyo Wajackoya atakufaje?
Kwani wewe ndio unayeamua?Hawezi kufa kibudu kama Jiwe
Yeye naye alishakufa pia?Prof. Waja-Kaya alikuwa akitoa hutoba yake huko Kenya, na alitoa maneno hayo, maneno haya, kwa maoni yangu, ndio maono ya Dunia kuhusu JPM. Yaani wanaamini kifo chake ni adhabu aliyoipata kutoka kwa Mungu.
Mbona jamaa yetu alikuwa anashinda makanisani akiombewa, na Kila mahali alikuwa anaomba aombewe. Je, hawajui kwamba alikuwa mtu wa Mungu, na kwake kifo isingekuwa adhabu?
Cc: Wana S-Gang
View attachment 2594082
Niwewe kengeKwani wewe ndio unayeamua?
Umeamka?Niwewe kenge
yupo sahihiAache ubwege
Mkaidi sio kwa Mungu ila kwa wavivu, mafisadi😹😹😹
ila yule jamaa alikua mkaidi sana tena sana tena sana
mwishowe yalimkuta yakumkuta 😹Mkaidi sio kwa Mungu ila kwa wavivu, mafisadi
Na ndiyo maana uansoma History huku ukiishia kuwasifu waliosimamia misimamo yao kama wakina Karl Max, Lumumba etc lakin kujifunza kwako unaona kama yuke mjinha tu! Unahisi tunafail wapi kuamini vya kwetu?mwishowe yalimkuta yakumkuta 😹