Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Sasa kwani tatizo liko wapi. Unataka niiache akili yangu ufipa?
Utakua wa 2000 weweHebu tupe aliyoyafanya kwa undani.Binafsi simfahamu na ndo leo ninamsikia.
Usimuamini sana anachosema,.kuna watu wako vizuri kutengeneza movieHata mimi nimestushwa na hiyo confession yako. Kupitia mchango wake siku zote huwa unaonekana kuwa ni teenager! Kumbe siyo hivyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema tu akili zao ndio wanakua wameziacha kwingine
Kwingine wapi huko?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Shikamoo.....Babu.
Kweli aisee enzi hizo me nilikua primary tu[emoji1787][emoji1787]Ila humu JF watu wamekula chumvi balaa
Historia yake niliisoma mwaka jana aisee alipitia mengi sana yani[emoji120][emoji120]Mzee Prof Wamba dia Wamba ,mpambanaji enzi za Mobutu enzi hizo ikiitwa Zaire
Katika Second Congo War ,Prof Wamba alikua moja ya kiongozi wa RCD Goma
Nadhani wajuzi watakuja ongezea wasifu wake mwanaharakati ,mpambanaji na mwanasiasa mahiri Africa
R.I.P Prof Wamba , Mzee wangu ,jirani yangu , Pole sana James Wamba
Cc@zitto junior mng'ato
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Mkuu sijui niseme nn khs huyu MzeeHistoria yake niliisoma mwaka jana aisee alipitia mengi sana yani[emoji120][emoji120]
Duh, yaani unataka nijipinde na kuandika yoote aliyoyafanya Pro. Wamba au?Hebu tupe aliyoyafanya kwa undani.Binafsi simfahamu na ndo leo ninamsikia.
Shauri zenu nyie watoto!Ila humu JF watu wamekula chumvi balaa
Sasa ndio utajua kuwa hujui.Hata mimi nimestushwa na hiyo confession yako. Kupitia mchango wake siku zote huwa unaonekana kuwa ni teenager! Kumbe siyo hivyo!
Waambie wasome Second Congo war walau watapata ideaDuh, yaani unataka nijipinde na kuandika yoote aliyoyafanya Pro. Wamba au?
Nilijua tuDuh, yaani unataka nijipinde na kuandika yoote aliyoyafanya Pro. Wamba au?
Hata mimi nimestushwa na hiyo confession. Kupitia mchango wake siku zote huwa anaonekana kuwa ni teenager! Kumbe siyo hivyo!
Wapi huko?Sema tu akili zao ndio wanakua wameziacha kwingine