Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Nipo mkuu hahahaHahahaha, Mkuu upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo mkuu hahahaHahahaha, Mkuu upo
Anaitwa Nani mkuuHuyu jamaa alikuja kusilimu
Hajabadili jinaAnaitwa Nani mkuu
Mkuu kumbe wewe ni mhenga ila unaleta mambo ya kidwanzi kabisa hapa JF? Kuanzia leo itabidi nikupe heshima kwa umri wako hata kama utaongea mambo yako ya ushabiki wa kipuuzi.
sasa mbona kichwani hamna kitu?!.Kitambo.
Nani alikudanganya?sasa mbona kichwani hamna kitu?!.
My Boss Mr Chambulikazi R.I.PR.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Eberhard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Yeah.My Boss Mr Chambulikazi R.I.P
Dah!!Mwalimu wangu huyo wa biology apumzike kwa amani
Dah! Majonzi tele.
Wakongwe wa ile idara wanapukutika.
Nadhani waliobaki kwa sasa ni Josephat Mbwiliza, Isaria Kimambo, Nestor Luanda, na Frederick Kaijage.
Mishambi, Tambila, Mlahagwa, na sasa Wamba...wote ni marehemu!
Pumzika kwa amani jirani!
Wow! Seriously? Lini?Kimambo na Luanda nao walishatutoka kitambo,
University of Dar es Salaam-
Adieu Professor Wamba dia Wamba
Wow! Seriously? Lini?
Hapo naona nilipitwa....
Kolo na James nimesoma nao pale vidudu enzi hizo....
Mzee Wamba akija kuwachukua tulikuwa tunamuamkia ‘shkamoo’ na yeye anatujibu ‘good afternoon’.
James na Mzee wake Mara mwisho walikua wanakaa Mikocheni BWow! Seriously? Lini?
Hapo naona nilipitwa....
Kolo na James nimesoma nao pale vidudu enzi hizo....
Mzee Wamba akija kuwachukua tulikuwa tunamuamkia ‘shkamoo’ na yeye anatujibu ‘good afternoon’.
Aliacha ku rap?James na Mzee wake Mara mwisho walikua wanakaa Mikocheni B
James kn kipindi alikua ana promoti ngumi nadhani
Hilo hawezi kuacha , pia alikua anapiga ngumi na Ku promotiAliacha ku rap?
Hivi mama yao yuko wapi siku hizi?Hilo hawezi kuacha , pia alikua anapiga ngumi na Ku promoti
Mara ya mwisho pale Mikocheni B ,mama alikuwepo ,nilikua namuonaHivi mama yao yuko wapi siku hizi?
Hivi mama yao yuko wapi siku hizi?
Hilo hawezi kuacha , pia alikua anapiga ngumi na Ku promoti
Professor mbwiliza aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa miaka ya zamani nimefanya naye kazi. Ameshastaafu. nimewahi kukutana naye posta mwaka 2018 and he was health and energetic.Dah! Majonzi tele.
Wakongwe wa ile idara wanapukutika.
Nadhani waliobaki kwa sasa ni Josephat Mbwiliza, Isaria Kimambo, Nestor Luanda, na Frederick Kaijage.
Mishambi, Tambila, Mlahagwa, na sasa Wamba...wote ni marehemu!
Pumzika kwa amani jirani!