Profesa Assad ahoji usiri wa uuzaji Nyumba za Serikali

Huyu mpuuzi tu,
Aliponunua nyumba za nssf tanga akiwa mjumbe wa Bodi ya wadhamini wa nssf na hakujua taratibu hazikufatwa???
 
Hizo nyumba ziliuzwa enzi za Mkapa na JK waziri hana mamlaka ya kuuza chochote bila idhini ya mkuu wa nchi.

Kwanini hajahoji mkuu wa nchi nguzo ya nne ana nyumba kadhaa Mikocheni A hadi Kawe Beach na kwanini kipindi akiwa ni CAG hakuhoji kimantiki kuhusua haya?
 
Huyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake
Sasa hayupo, na uzuri wake hata akipokuwepo Assad alikuwa anamchana tuu yeye pamoja na Subuufa [emoji12][emoji12][emoji23]
 
Anataka katiba mpya
Huyu Prof huwa ananichanganya kweri kweri. Kwahiyo leo unataka Bunge Dhaifu na Mazuzu yashirikishwe? Au ndio ku "bow down" kumeanza baada ya "hali ngumu" mtaani?
 
Acha upuuzi ewe maamuma.. huyo magu wenu mnadhani alikuwa Mungu.. kila kitu kisemwe.

- Ule wizi wa 1.5trilion kipindi cha Shujaa wenu, aliusemea kipondi cha Nyerere?
Na aliposimamishwa pale Ikulu aongee unakumbuka alisema nini?! Huyu ni jasiri wa mabua tu naye.
 
Na aliposimamishwa pale Ikulu aongee unakumbuka alisema nini?! Huyu ni jasiri wa mabua tu naye.
Pale ulitaka ajibu nini? Na namna swali lilivyoulizwa? Suala la msingi kwenye vitabu vya audit huo ubadhirifu alishauonyesha
 
Prof. Assad, Mzee Warioba, Mzee Butiku, Dr. Slaa, Dr. Lwaitama, Ask. Bagonza, Ask. Mwamakula na watu wengine maarufu hapa nchini, karibuni katika uwanja wa kuhamasisha mijadala hai ya hitaji la wakati la haja ya kutaka kuwepo kwa katiba mpya.

Hakika mkifanya hivyo kwa dhati historia yenu itaandikwa katika wino wa rangi ya dhahabu.
 
Mimi nimepita bila kupingwa mara mbili!!! Nimechaguliwa na watu laki nne!! Halafu unaniita ZUZU mimi [emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23] alisikika mtu mmoja hukooo nyikani..
Huyo ndio UZUZU kumtandika bakora ya kichwa mwana ccm mwenzako
 
Hujui muzoga muzogo ndio wanadunda town....lengo ni kwamba legacy ya papa mukulu inakuwa kama tambala la dekio
Dogo nataka nidukue account yako ya cyptol Bitcoin nikuibie. Naona unaivest halafu unataka kutupiga humu jamvini
 
Prof hili suala la nyumba tuliache maana mkilivurumua tutaumbuka wengi..
 
Huyu Prof huwa ananichanganya kweri kweri. Kwahiyo leo unataka Bunge Dhaifu na Mazuzu yashirikishwe? Au ndio ku "bow down" kumeanza baada ya "hali ngumu" mtaani?
Mi nafikiri hapo anataka kumuonyesha anayesema yeye sio zuzu aanzekuona hoja ya uzuzu inapoanzia.
 
Huyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake

Huyo alikuwa ni jizi tu, yoote aliyojilimbikizia kwisha habari yake! Fiti sita huko chini mchwa wanakung'uta nyonga tu!
 
Huyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake
Ndugu,
Mwacheni afunguke ili kama TAIFA tuanze UPYA kuujenga utamaduni wa kujisafisa na kujitibu.
Kweli yawezekana kuwa alikuwa na uoga (au hata unafiki) wakati ule, LAKINI kuliweka wazi kutakuja lisaidia sana TAIFA na kuijenga zaidi nchi hii kwenye namna ya kuimarisha utawala bora, tofauti na tabia za ujima ambazo baadhi ya waTz wenzetu wanajitahidi kuanza kujivunia.
AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…