Shikamoo yako mkuu,dah mi nilidhani jamii forum tulio humu wengi ni sie vijana na watoto wa shule,kumbe kuna wazee ambao ni lika sawa la baba zetu......Uwe unatupa hekima na busara pale unapoona watoto wanaichafua jamii forumNilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Chanjo yenyewe imekuja chache....ngoja ije nyingineTupige chanjo jamanni
Unaweza kukumbuka kama ilikuwa Hanang, Kibo, Shengena au mawenzi?Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Ililetwa milioni 1 lakini mpaka sasa waliochanjwa ni lakini 1 na kitu, nenda wakati watu wanasuasuaChanjo yenyewe imekuja chache....ngoja ije nyingine
Ta watu wamekula chumvi 1966 mtu yupo secondary?Unaweza kukumbuka kama ilikuwa Hanang, Kibo, Shengena au mawenzi?
Mbona na sie ni kama kipindi hichoTa watu wamekula chumvi 1966 mtu yupo secondary?
Duh pole sanaNilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Pole sana Rafiki wangu john Kwa kuondokewa na baba yako Mungu ampumzishe kwemaLala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia
Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako
Mwendo umemaliza πππ
---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, βAmefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.
Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.
βBaba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,β amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.
Hakuna kitu kama hichoMbona na sie ni kama kipindi hicho
Unaumwa si bureHakuna kitu kama hicho
NdiyoUnaumwa si bure
Yule Daktari Bingwa wa watoto Prof Massawe amefariki Dunia leo asubuhi.
Mwenye Furaha Medical
RIP MPENDWA SANA PROF MASSAWE
kama wewe ulivyo kilaza, kwani hatukujui π π π π π πKwa huu mwendo unavyoenda, kila siku vipanga wanavyoondoka, muda si mrefu tutabakiwa na vilaza wa chadomo tu huku mitaani.
Naanza kuogopa kama Muhimblili wameshindwa kuokoa maisha yake basi tujiweke tayari na corona. Upumuaji itakuwa ni coronaMtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.