TANZIA Profesa Augustine Massawe, Daktari bingwa wa Magonjwa ya Watoto afariki dunia

TANZIA Profesa Augustine Massawe, Daktari bingwa wa Magonjwa ya Watoto afariki dunia

Probably ilikuwa Mawenzi. House master alikuwa mzungu,britisher. By the way,Mengi alikuwa Moshi Sec,nilipokutana naye siku moja ( mara moja tu nilipokutana naye)akaniambia,"habari za siku nyingi?" Sikuelewa maana ya Ile salamu mpaka baàda ya kifo chake nilipofahamu kwamba alikuwa anasoma Moshi Sec.
Wale watu wa Moshi Sec.,they have a very high opinion of themselves. Na Mengi aliposoma kule,halafu akaanzisha TV Tanzania,ile wameona uthibitisho kwamba Ile shule safi.
Siyo TV tu,na muziki pia alileta Mengi. Toka siku Ile mtangazaji wa Radio One aliposema,"kuanzia leo usiku Radio One itakuwa inapiga muziki usiku kucha",Tanzania ikawa nchi ya muziki.
Unaweza kukumbuka kama ilikuwa Hanang, Kibo, Shengena au mawenzi?
Ob
 
Probably ilikuwa Mawenzi. House master alikuwa mzungu,britisher. By the way,Mengi alikuwa Moshi Sec,nilipokutana naye siku moja ( mara moja tu nilipokutana naye)akaniambia,"habari za siku nyingi?" Sikuelewa maana ya Ile salamu mpaka baàda ya kifo chake nilipofahamu kwamba alikuwa anasoma Moshi Sec.
Wale watu wa Moshi Sec.,they have a very high opinion of themselves. Na Mengi aliposoma kule,halafu akaanzisha TV Tanzania,ile wameona uthibitisho kwamba Ile shule safi.
Siyo TV tu,na muziki pia alileta Mengi. Toka siku Ile mtangazaji wa Radio One aliposema,"kuanzia leo usiku Radio One itakuwa inapiga muziki usiku kucha",Tanzania ikawa nchi ya muziki.

Ob
Of course kusoma old moshi ilikuwa ni heshima sana hasa kwa PCB na PCM kwa hata 70s sijui baada ya hapo!
 
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la Amani pamoja na Watakatifu wake Mbinguni. Alikua mwalimu aliyewapenda Wanafunzi wake na kila mmoja alitamani asimamiwe nae kwenye mtihan. Hakika ametuachia Kumbukumbu nyingi zisizofutika katika Maisha yetu.
 
Pumzika kwa amani Prof. Massawe.
Poleni wote mlioguswa na msiba huu.
 
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia

Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako

Mwendo umemaliza [emoji174][emoji174][emoji174]

---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.

Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.

Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.

“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.

Nimehuzunika Sana mimi na familia yangu maana mtoto wangu alitusumbua Sana tangu atibiwe na huyu mzee hajawahi ugua tena

Tumebakiwa na kina osati siasa siasa tu

R.i.p dk masawe


USSR
 
Unaweza kuthibitisha kuwa wameuawa na chanjo ya Corona na wala siyo kwa kitu kingine chochote kile?

Ukithibitisha ndio atafufuka? Kuna yule mmoja Mungu aliamua kuwaumbua kwenye podium akakata mawasiliano. Waziri anasema hakikisha habari haiwafikii wananchi kama amechanjwa. Mungu wambinguni kama aishivyo atazidi kuweka mambo yote hadharani.
 
Ndio maelekezo yake pia.... lakini shida ikitokea hamna namna unakwenda kufuata msaada.

Alikuwa DR mzuri sana wa watoto kasaidia wengi mno, ingawa sina hakika kama aliupata Uprof officially. Ametuchia urithi wa madaktari wakiwemo mabingwa wa magonjwa ya watoto wazuri kama yeye na pengine kumzidi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ukithibitisha ndio atafufuka?
Kwani nia ni afufuke?
Kuna yule mmoja Mungu aliamua kuwaumbua kwenye podium akakata mawasiliano. Waziri anasema hakikisha habari haitokikufikia wananchi kama amechanjwa. Mungu wambinguni kama aishivyo atazidi kuweka mambo yote hadharani.
Waziri anasema kuwa wahakikishe kuwa habari haziwafikii wananchi kuwa amechanjwa kwa sababu wananchi wengi wana elimu ndogo hawajui mambo ya side effects za chanjo.Kwa kuwa wana elimu ndogo wanaweza kufikiri kuwa imetokana na ubaya wa chanjo wakati ni side effects za kawaida kabisa.

Lakini pia kuna mambo ya coincidence.Kwa mfano unaweza ukawa umechanjwa wakati sukari yako ipo chini.Ukaanguka kutokana na sukari kuwa chini halafu kwa sababu umeanguka wakati umechanjwa basi wananchi wakaamini kuwa ni chanjo wakati umeanguka kwa sababu sukari ipo chini.

Kwa hiyo waziri alikuwa anajitahidi kuepusha yote haya yasiwachanganye wananchi.
 
Sasa hivi watu wanajiendea tu! Hamna msisitizo wa barakoa wala sanitizer. Madaladala yanajaa hamna tahadhari yoyote

Watu kukutii ni mpaka wakuamini wewe unaye waongoza. Kiongozi ukishakuwa kigeugeu hakuna wa kukuheshimu kwa hiari. Watakuwa wanakungonga tu ili kulinda ugali wao. Mwisho wa siku ni kukwama kabisa na hapatakuwepo la maana linalosonga mbele. Kila kitu kwa mbinde wanakuitikia hawatende kwa moyo bali kukuridhishatu..
 
Kwani nia ni afufuke?

Waziri anasema kuwa wahakikishe kuwa habari haziwafikii wananchi kuwa amechanjwa kwa sababu wananchi wengi wana elimu ndogo hawajui mambo ya side effects za chanjo.Kwa kuwa wana elimu ndogo wanaweza kufikiri kuwa imetokana na ubaya wa chanjo wakati ni side effects za kawaida kabisa.

Lakini pia kuna mambo ya coincidence.Kwa mfano unaweza ukawa umechanjwa wakati sukari yako ipo chini.Ukaanguka kutokana na sukari kuwa chini halafu kwa sababu umeanguka wakati umechanjwa basi wananchi wakaamini kuwa ni chanjo.Kwa hiyo waziri alikuwa anajitahidi kuepusha yote haya yasiwachanganye wananchi.

Muambie kakosea na hana hekima. Kumbuka zipo clips kibao zinasambaa mitandaoni kama moto wa nyikani za huko chanjo zilipotoka zikionesha wakubwa wahuko wakidanganya kuchanjwa kumbe ni geresha tu. Iko ya waziri Mkuu wa Australia, Mayor wa londoni nk. Halafu Waziri wa Afya unatamka wananchi wasijue. Mungu kamfanya ahujumu kampeni kwa maneno yake mwenyewe. Ngoja tuone Rais atasema nini juu ya hili? Wale wa Arusha wanyonge wa vyeo vya chini barua ilitoka masaa machache tu.
 
Duh! Poleni wanafamilia ya Massawe hasa wale wa kijijini kwake Mkomongo Moshi alikozaliwa. Nilibahatika kufundishwa na mama na baba yake enzi hizo na pia nilibahatika kusoma na wadogo zake kina Fikiri na Simon. Poleni mno na Mungu ampumzishe Kwa mahali pema peponi.
 
Muambie kakosea na hana hekima. Kumbuka zipo clips kibao zinasambaa mitandaoni kama moto wa nyikani za huko chanjo zilipotoka zikionesha wakubwa wahuko wakidanganya kuchanjwa kumbe ni geresha tu. Iko ya waziri Mkuu wa Australia, Mayor wa londoni nk. Halafu Waziri wa Afya unatamka wananchi wasijue. Mungu kamfanya ahujumu kampeni kwa maneno yake mwenyewe. Ngoja tuone Rsas atasema nini juu ya hili. Wale wa Arusha wanyonge wa vyeo vya chini barua ilitoka masaa machache tu.
Sasa waziri mkuu kudanganya kuwa anachanjwa kuna ajabu gani?Kwani kwa mfano kwenye utawala wa Magufuli ambao ulikuwa unapinga chanjo mawaziri kufanya kitu kama hicho ingekuwa ni ajabu?
 
Duh! Poleni wanafamilia ya Massawe hasa wale wa kijijini kwake Mkomongo Moshi alikozaliwa. Nilibahatika kufundishwa na mama na baba yake enzi hizo na pia nilibahatika kusoma na wadogo zake kina Fikiri na Simon. Poleni mno na Mungu ampumzishe Kwa mahali pema peponi.
Fikiri, John na Simon siyo wadogo zake.
Wale ni wadogo zake Mzee Dominic-alokuwa Mkurugenzi wizara ya kilimo
 
2005 nilipata huduma toka kwa huyu mzee pale morocco. Binti yangu aliyezaliwa tu akiwa na siku kama 6. Alikuwa akilia sana muda wote. Akipewa nyonyo ananyonya baada ya muda kidogo analia tena.
Nikampeleka pale. Sitakaa nidharau taaluma ya mtu. Hata akiwa mkuluma.
Mzee masawe akamwambia wife akamue maziwa ajazi kikombe kilikuwa pale. Kukamua kumbe mama maziwa hana na mtoto analia sababu hashibi. Nikaanza kuingia super market kununua mazuwa ya kopo. Kwa sasa ni mkubwa na yupo form two pale St marie Eugen.

Pumzika kwa amani mzee wangu Masawe.
Mkuu binti wa 2005 bado yupo form two?? Kwanini ulimchelewesha hivyo?
 
Fikiri, John na Simon siyo wadogo zake.
Wale ni wadogo zake Mzee Dominic-alokuwa Mkurugenzi wizara ya kilimo
Sorry Kwa kuchanganya. Unamaanisha Dr. Massawe alikuwa mdogo wake mwl. Beda na Manningi?
 
Back
Top Bottom