Profesa Baregu afunguka sakata la Membe na 2020



The same music danced in 2015
...watatifuana kama kawa
...watagawanyika
...watasukuma mtu ndani
...chombo kitayumba
...chama chetu kitaibuka mshindi iwe isiwe
 
Success is measured in outcome na sio porojo za wanasiasa

Magu ni level nyingine muda mfupi aliotumikia nafasi yake mafanikio na utendaji wake wa kazi unapimika na hakuna kiongozi zaidi yake kwa sasa anaefaa kulisogeza gurudumu la maendeleo.

Penye mapungufu nadhani yeye anabeba asilimia ndogo sana za lawama (na anayo tena yenye kuzua mijadala kila siku), ila ukweli wenyewe ni kwamba asilimia zilizobaki ya sababu zinazofanya wengine wasimuelewe zinaenda kwa timu yake ya ufundi hawa jamaa ndio watu wa ovyo sana as political and economy strategists.
 
hatari
 
Hakuna kitu, Membe ataenda na ataonywa ata nyamaza ni mtu ambaye kwa nyazifa zake hawezi kufanya chochote maana anaweza kujitia matatani fasta.
Mkuu kwani wewe unafikiri kuna undergeound movement yeyote BM anafanya...!?Au ni Masisiem yenyewe mmevurugana.!? Jiwe mmelichoka hivyo mnaangalia mwenye afadhali licha ya kwamba nae HAFAI..
 
Una ushahidi wa haya? Fala kama mwigulu jimbo lake ambalo halina maendeleo yoyote wanini? Zitto ni mavi alishawekwa maliwato hawezi rudishwa tumboni napegwa nnauye ana nini zaidi ya kubwata ushafika mtama jimbo baya na lakimaskini kuliko yote?
Weka akiba ya maneno mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…