TANZIA Profesa George Shumbusho afariki dunia

TANZIA Profesa George Shumbusho afariki dunia

Pole sana kwa wana Kamuchumu, Mungu awape faraja!
Hii nchi watabakia wajukuu za Ng'wanamalundi!

Hiii neyo bagoshaa!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kuna haja ya kuwa na ukurasa maalumu kuhusu wataalamu wetu. Haya mambo ya kusubiri wafe ndio tujulishwe haisaidii taifa. Tuwajue wakiwa hai ili tuwapelekee changamoto zilizopo wazitafutie ufumbuzi !!
 
Nini moja ya andiko moja la kukumbukwa la utafiti wake mkuu!
 
Hii taarifa ipo tangu Jana we umeipata leo haya ndo madgara ya watu wa mkoani
 
Sisi wenye age ya 60+ inatakiwa tujitenge kabisa na makundi la vijana na watoto...

Hatuna kinga ya kutosha kuhimili hii kitu inaitwa Changamoto ya Upumuaji..
Tutakwisha...

Walimu wa vyuo hasa mjiangalie saana!!
 
Sisi wenye age ya 60+ inatakiwa tujitenge kabisa na makundi la vijana na watoto...

Hatuna kinga ya kutosha kuhimili hii kitu inaitwa Changamoto ya Upumuaji..
Tutakwisha...

Walimu wa vyuo hasa mjiangalie saana!!
Wanazuoni wataisha jamani, sijui linaangaliwaje hili?

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Wanazuoni wataisha jamani, sijui linaangaliwaje hili?

Everyday is Saturday............................... 😎
Vijana na watoto ni cariazi wa changamoto hii...jitenge nao otherwise wafwaaa....mzee mwenzangu!!

Wenyewe hawafi...we umeshaskia katoto kamelazwa ati kanaomba oxygen ili kapumue?
 
Back
Top Bottom