babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Prof G Kahyarara akiojiwa na East Africa Redio amesema, katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi kadhaa ya awamu ya sita, economic diplomacy imeweza kuingiza Katika mfumo wetu wa uchumi dola bilioni 21 ambazo huwezi kuzipata popote katika mfumo mwingine!
My take:
Kwa hiyo Tanzania ndio inayoongoza kwenye FDI destination in Africa. Sasa hivi tutakuwa tunashinda Asia, Europe na US.
My take:
Kwa hiyo Tanzania ndio inayoongoza kwenye FDI destination in Africa. Sasa hivi tutakuwa tunashinda Asia, Europe na US.