Profesa Godius Kahyarara: Awamu ya 6 imeingiza dola bilioni 21

Profesa Godius Kahyarara: Awamu ya 6 imeingiza dola bilioni 21

Duuh aisee hawa wazee wanafikiri bado tunaishi kwenyr stone age

Kwamba kuna absolute control of information??
 
Dolla za kimarekani au Zimbabwe?
Prof G Kahyarara akiojiwa na East Africa Redio amesema, katika kipindi cha mwaka mmoja na miezi kadhaa ya awamu ya sita, economic diplomacy imeweza kuingiza Katika mfumo wetu wa uchumi dola bilioni 21 ambazo huwezi kuzipata popote katika mfumo mwingine!

My take:
Kwa hiyo Tanzania ndio inayoongoza kwenye FDI destination in Africa. Sasa hivi tutakuwa tunashinda Asia, Europe na US. View attachment 2217950
 
Back
Top Bottom