TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

Unataka kuwa kama thermometer sio 😁
Kusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity

Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...

MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
 
Kusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity

Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 na sku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...

MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
Mie kwakweli elimu haijanipenda 🤣🤣 hatujapendana yani
 
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.

1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)

Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
 
Mkuu mm napenda kusoma kuliko kuliko chochote peharps ntazifikisha.....

Hapa zipo mbili mpaka Sasa....
Tuko pamoja,Ingawa kwa mazingira ya Tanzania utachekwa sana. Nimrefikisha ya tatu mwakani naanza ya nne.
Digrii Saba zote za Nini?
HUWEZI ELEWA. ..,Kama ni mvivu wa kusoma huwezi elewa hata kidogo. Najua utauliza lengo ni lipi?
 
Kusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity

Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...

MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
Asa unakomaa na hayo makaz ya nn , watu wanamake laki Kwa saa tuu only smartphone
 
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.

1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)

Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
Ila mkuu currently watu wana umwa vifua na mafua makali sanaa....

Mm mwenyewe hapa nimeng'ang'aniwa na mafua na kikohozi
 
Tuko pamoja,Ingawa kwa mazingira ya Tanzania utachekwa sana. Nimrefikisha ya tatu mwakani naanza ya nne.

HUWEZI ELEWA. ..,Kama ni mvivu wa kusoma huwezi elewa hata kidogo. Najua utauliza lengo ni lipi?
Sawa mkuu hivi vitu huchochewa toka ndani mwingine hawezi kuelewaaa..
 
Back
Top Bottom