Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Si walimshitukia ni mburura.Yaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si walimshitukia ni mburura.Yaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Makini au kichaa?Duuh ni hatari sana ameondoka mtu makini sana R.I.P Mwamba
Naskia alikuwa anafanya shughuli za USHAURI wa Kodi.Si walimshitukia ni mburura.
wapo akina mugabe TzKumbe kuna watu wana degree saba na hamsemi??
vyeti ameviacha kaondoka na maarifa yakeDa! Hasara sana hii!Bahari Mbaya vyeti havilithiwi,ameondoka na vyeti vyake.
Usisahau ku enjoy maisha mkuu , maana maisha yetu ni mafupi sana kuyatumia yote kwa kusoma tuKusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity
Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...
MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
Jamani ungetaka afie wapi sasa?Digrii 7 halafu anafia Muhimbili?
Si material pekee ndiyo urithi pengine kawaachia maarifa kama yake na wapo more independent kuliko yeye mwenyeweDigrii nyingi Hazinaga urithi kwa watoto labda kama ameacha hazina ya kitaaluma. Ni bora uwekeze kwenye ardhi au viwanda watoto wako watarithi kuliko PhD nyingii za kutishia watu. PhD zote hizo bado ni muajiriwa kashindwa kuanzisha hata kampuni la kuuza utalaam(consultant co).
Mwafwenga ana ombwe ktk modern skill set hasa ktk kuuza ujuzi, ana elimu very traditional ambayo inabidi uajiriwe tu vinginevyo asingekuwa muajiriwa angekuwa ni mmiliki wa makampuni na mwajiri.
We have to learn to adapt modern skill set.
Tuachane na digrii za sifa.
Shaban Robert hakuwa hata na digrii moja lakini ni maarufu kuliko wenye madigrii mengi wa wakati wake.
Nami nakutana na the same problem ya macho.Kusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity
Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...
MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
Umeshauri kwa ulichokikariri darasaniDigrii nyingi Hazinaga urithi kwa watoto labda kama ameacha hazina ya kitaaluma. Ni bora uwekeze kwenye ardhi au viwanda watoto wako watarithi kuliko PhD nyingii za kutishia watu. PhD zote hizo bado ni muajiriwa kashindwa kuanzisha hata kampuni la kuuza utalaam(consultant co).
Mwafwenga ana ombwe ktk modern skill set hasa ktk kuuza ujuzi, ana elimu very traditional ambayo inabidi uajiriwe tu vinginevyo asingekuwa muajiriwa angekuwa ni mmiliki wa makampuni na mwajiri.
We have to learn to adapt modern skill set.
Tuachane na digrii za sifa.
Shaban Robert hakuwa hata na digrii moja lakini ni maarufu kuliko wenye madigrii mengi wa wakati wake.
🤣🤣🤣Nimeshangaa mie tu nishaukwaa uandamizi lolYaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Unaweza kuwaachia maarifa uliyonayo watoto wako? Maarifa ambayo yanakuwa aproved na taasisi? Labda kuwaongoza tu nao wawe bookworms kama wewe. Wacheza mpira wachache wameweza kurithisga talents zao kwa watoto wao. Na mafundi baadhi wameweza sio acamic world haurithishiki.Si material pekee ndiyo urithi pengine kawaachia maarifa kama yake na wapo more independent kuliko yeye mwenyewe
Shauri kwa kile ambacho huja kariri darasani ili nami nikachukue madigriiUmeshauri kwa ulichokikariri darasani