TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

Shikamoo kifo
Kifo hakina huruma
Kifo hakijui wewe nani na siku ikifika Lazima ufe...
INNA LILLAH WAINA ILAYH RAJUUN.
 
Nami nakutana na the same problem ya macho.
Comp na sim zinaua macho tuchukue tahadhari sana.
Kusoma vitu vingi kunapelekea confusion of brain. Ubongo unapata chaos of information na kupata redundancy errors, Cyclic error, exception error nk Kwa hio unasahau, unakuchukua muda ku recall, unachanganya mambo nk
Kitu cha msingi anzisha madarasa huru ili kichwa ki refresh the Knowledge na kuwa active.
Anzisha you tube channel au blog au platform ya motivation ili utoe "nyongo" na kuitema na kichwa kitakuwa huru kuliko kukijaza tu maarifa yasio na kikomo.
Andika sana kwenye platform za watu kama JF Quora,Redet, Facebook nk.
Anzisha darasa la ushauri hasa kama ulipita na kwenye phychology au philosophy.
Una mambo mengi ambayo huna pa kuyapeleka hivyo tafuta pa kuyapeleka vinginevyo yatakudhuru!
Waone wataalamu wa tiba ya akili hasa kwenye mambo ya academic kwani kuna
baadhi ya watu hudhurika na abundant of information.
Tafuta muda uwe una relax na kufanya mambo ya kawaida kama kuvua kwa nduwaono, kucheza mziki,mpira, kulima, kusuka ungo, mkeka nk
Wasomi wengi sana wametengwa na ulimwengu wa kujamiiana na kuamini wamekamilika na ulimwengu wao( Ideal world) .
Elimu huwanyanganya watu uhuru wao na kuwapa uhuru bandia(umeisha wahi kumuona msomi anacheza ngoma za asili?) Jibu ni hapana kwa sababu huo uhuru alisha porwa kitambo!.
Kumbuka we are already programmed so to reprogram ni hatua nyingine.
We in the world of MATRIX kujitoa ni kazi.
Don't study too much anymore, tumia kwanza uliyoyakusanya kabla hijaongeza mengine.
Nyumbani kuna watu hubatizwa jina la
MAKUSANYA and some of them are crazy!

Fuata nyayo za Prof Lumumba au VUSI Tembekwayo, hawa jamaa wanajua na wameweza ku balance knowledge waliokusanya miaka mingi. Japojuwa Prof Lumumba amechanganyikiwa kwa mbali kwa sababu ya kuwa na inf nyingi zilizopitiliza.
Brother umemjibu huyo lakini wengi wetu ikiwemo mimi binafsi kuna kitu umezungumza nami.
asante sana.
 
Makini au kichaa?
Huko juu walishamjua that's why hawakumpa nafasi kubwa
Wewe umepewa nafasi gani? Kama hujapewa je umestukiwa kuwa hamnazo?
Huko juu unakosema kuna utaratibu wa kufika kutokana na Elimu yako?
Tukikuuliza hao walioko huko juu wana Elimu ya kuwazidi ambao hawajafika utatujibu?
Waziri wa Nishati ni Dotto Biteko, je huyu ukiachilia Geography ya Secondary aliyosoma kwenye topic ya Energy ana kingine anakijua kwenye hilo eneo?
 
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.

1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)

Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
 
Kuanzia tarehe 28 Agosti 2023 mpaka leo 19 Septemba 2023 yaani chini ya siku 25 maprofesa tuliopoteza ni watatu.

1. Handley Mwafwenga
2. Philemon Mushi (aliwahi kuhudumu School of Education UDSM)
3. David Massamba (amewahi kuwa director of IKS)

Huyo namba 2 na 3 walifariki siku moja tarehe 28 Agosti, 2023.
Inasikitisha sana.
 

Attachments

  • MU-OBITUARIES-Dkt-MILANZI.jpg
    MU-OBITUARIES-Dkt-MILANZI.jpg
    300.1 KB · Views: 2
Kusoma ni hobbies mm nimewai kufanya assignment nyingi sana za watu na field report writing nyingi sana pia research za watu wengi sana Mimi ni mtu napenda sana kusoma soma hapa nataka mwakani nitafute evening program ya postgraduate study Ili nifanye diversity

Kwa hii miaka mitano nimekua mbele ya computer 24/7 naku attending phone calls nyingi sanaa last months nimeanza ona macho yanaanza kunisumbua sana hasa jicho la kulia linauma pia currently kutokana na kua busy sanaa Kila siku kwenye ma computer nimeanza kuona nimepungukiwa uwezo wangu kiakili kama zamani & Naona Ile smartness yangu ya zamani inapungua...

MWENYEZ MUNGU ATUSAIDIE SANAA
I am like u, nilikua na uwezo wa kusoma mpk vitabu 100 per yr, now hata viwili kazi. Now navaa miwani. Nenda kacheki hosp hayo macho. Hii micomputer inatuua tu
 
I am like u, nilikua na uwezo wa kusoma mpk vitabu 100 per yr, now hata viwili kazi. Now navaa miwani. Nenda kacheki hosp hayo macho. Hii micomputer inatuua tu
Sawa mkuu,
Macho hayana nguvu hasa jicho la kulia naona kabisa limepunguza uwezo wa kuona....

Napo andika hii comment nipo mbele ya computer 💻

This week ntaenda fanya check up ya macho..
 
Yaan Madigirii yote hayo bado alikuwa AFISA MKUU DARAJA LA 1? Hata Umeneja au Ukurugenzi alikuwa hana.. aisee MAISHA haya.
Kusoma sana kazi kidogo.......wasomi wengi kwa nilichoshuhudia enzi hizo nikiwa nimeajiriwa huwa wanasoma sana ili kukwepa kazi ngumu au kazi nyingi.

Kimsingi kwa mtazamo wangu ni watu wavivu wasiopenda kazi. Wao ni watu wa zuri kwa kusoma sana na kufaulu vizuri tu.
 
Someni Sana lakini mjue kuwa taifa halihitaji wasomi Sana..🤣🤣🤣

Mf...Walimu waliosoma degree wanaachwa wakati waliosoma certificate wanaajiliwa KWA wingi
 
Nami nakutana na the same problem ya macho.
Comp na sim zinaua macho tuchukue tahadhari sana.
Kusoma vitu vingi kunapelekea confusion of brain. Ubongo unapata chaos of information na kupata redundancy errors, Cyclic error, exception error nk Kwa hio unasahau, unakuchukua muda ku recall, unachanganya mambo nk
Kitu cha msingi anzisha madarasa huru ili kichwa ki refresh the Knowledge na kuwa active.
Anzisha you tube channel au blog au platform ya motivation ili utoe "nyongo" na kuitema na kichwa kitakuwa huru kuliko kukijaza tu maarifa yasio na kikomo.
Andika sana kwenye platform za watu kama JF Quora,Redet, Facebook nk.
Anzisha darasa la ushauri hasa kama ulipita na kwenye phychology au philosophy.
Una mambo mengi ambayo huna pa kuyapeleka hivyo tafuta pa kuyapeleka vinginevyo yatakudhuru!
Waone wataalamu wa tiba ya akili hasa kwenye mambo ya academic kwani kuna
baadhi ya watu hudhurika na abundant of information.
Tafuta muda uwe una relax na kufanya mambo ya kawaida kama kuvua kwa nduwaono, kucheza mziki,mpira, kulima, kusuka ungo, mkeka nk
Wasomi wengi sana wametengwa na ulimwengu wa kujamiiana na kuamini wamekamilika na ulimwengu wao( Ideal world) .
Elimu huwanyanganya watu uhuru wao na kuwapa uhuru bandia(umeisha wahi kumuona msomi anacheza ngoma za asili?) Jibu ni hapana kwa sababu huo uhuru alisha porwa kitambo!.
Kumbuka we are already programmed so to reprogram ni hatua nyingine.
We in the world of MATRIX kujitoa ni kazi.
Don't study too much anymore, tumia kwanza uliyoyakusanya kabla hijaongeza mengine.
Nyumbani kuna watu hubatizwa jina la
MAKUSANYA and some of them are crazy!

Fuata nyayo za Prof Lumumba au VUSI Tembekwayo, hawa jamaa wanajua na wameweza ku balance knowledge waliokusanya miaka mingi. Japojuwa Prof Lumumba amechanganyikiwa kwa mbali kwa sababu ya kuwa na inf nyingi zilizopitiliza.
Mkuu,
Umeandika vyema Asante sana Kwa maarifa..
 
Back
Top Bottom