Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Mwanazuoni nguli Profesa James Lwelamira amefariki dunia leo asubuhi ktk hospital ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma ambapo alikuwa akipatiwa matibabu.
Chanzo cha kifo taarifa ya daktari bado haijatoka.
Chanzo cha kifo taarifa ya daktari bado haijatoka.