King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Omba Mungu yasikukute
Watu wanapukutika kwa nimonia halafu yeye analeta FUTUHI za MEKO hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba Mungu yasikukute
RIP.
Tuchukue tahadhari uwingi wa hizi Ambulance zinazopita huku barabarani kwa siku sio kawaida aise hali ni mbaya Mungu atunusuru.
Swali gumu sana, sijui kama kuna anayeweza kukujibu.Hivi gharama ya profesa mmoja ni tsh ngapi
sijaona tanzia ya ajari mkuu kuwa mkweli mambo si mambo alafu inapiga wanazuoni sana sijajua shida niniMisiba haijaanza Jana ipo tangu awali, sema hiki kipindi cha vijimafua vya corona watu mmekuwa attention na misiba, ndo maana kila msiba hata wa ajali watu mnaposit Uzi wa tanzia.
Tena bado haijaanza mpaka bwawa la ujinga kijae werevuKazi ipo.
Nakumbuka kiongozi wa Brazil ilibidi aombe pooo . Ni baada yakuiletea Corona zarauMwanazuoni nguli Profesa James Lwelamira amefariki dunia leo asubuhi ktk hospital ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma ambapo alikuwa akipatiwa matibabu.
Chanzo cha kifo taarifa ya daktari bado haijatoka.
Misiba haijaanza Jana ipo tangu awali, sema hiki kipindi cha vijimafua vya corona watu mmekuwa attention na misiba, ndo maana kila msiba hata wa ajali watu mnaposit Uzi wa tanzia.
aiseehh...Nakumbuka kiongozi wa Brazil ilibidi aombe pooo . Ni baada yakuiletea Corona zarau
Mbona umepata simanzi ghafla mama DLala salama Prof James
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Usiogope,Bhaghosha!!???? ,,[emoji24][emoji24][emoji24]Mbona tunakwisha namna hii hadi naanza kuogopa sasa.